We utapiga puli hadi ukome, we unazani wote wenye wake wanakazi nzuri! Tatizo graduate unataka kazi nzuri, unatamani uwe na nyumba gari Kali hiyo iliishia miaka yetu ambapo tulikuwa tunapata kazi tukiwa mwaka wa mwisho chuoniule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.
Mkuu muagizie basi wanakopatikana mana inaelekea amechoka kutafuta mpk amekuja kusema uku ujue so mchezo.Mbona wapo kibaa tu wanaotaka kuolewa.yaani duniani tuko billion nane unakosaje mmoja tu wa kuishi nae hivo hivo kibishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa kuoa wapo Ila tatizo unataka wanawake wa mlimani city,ambao unakuta tiyari ampendeza ,baba hao wapo kimaslai zaidi unakuta mpaka ampendeza vile ni investment kafanya kuvutia ww na ukatoa pesaule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.
Hivi hukamwelewa yeye kaweka tangazo ujueMbona wapo kibaa tu wanaotaka kuolewa.yaani duniani tuko billion nane unakosaje mmoja tu wa kuishi nae hivo hivo kibishi
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa mkuu huyu si aoe tu apambane na maisha au asubiri kazi?We utapiga puli hadi ukome, we unazani wote wenye wake wanakazi nzuri! Tatizo graduate unataka kazi nzuri, unatamani uwe na nyumba gari Kali hiyo iliishia miaka yetu ambapo tulikuwa tunapata kazi tukiwa mwaka wa mwisho chuoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa kuoa wapo Ila tatizo unataka wanawake wa mlimani city,ambao unakuta tiyari ampendeza ,baba hao wapo kimaslai zaidi unakuta mpaka ampendeza vile ni investment kafanya kuvutia ww na ukatoa pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yategemea na aina ya wanawake unaiwataka.. vijana wengi tynajisahau kuwa maisha yanatengenezwa na hata mwanamke anategenezwa tatizo wengi tyunataka readymade. Kwa namna hiyo tutapata tabu sanaule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.