Yaani umeogea vizuri aiseeMapenzi yapo kwa mtu wa level yako kipesa, kielemu na kijamii. sasa ukitaka watoto matawi na wewe ni Kapuku utaambulia maumivu tuu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12]Masikini ndio wanaoa sasa, kila siku ndoa zinafungwa rasmi na zisizo rasmi. We unawatafuta kina wema sepetu nini!!! Chukua level yako.
Tafuta kazi tafuta hela afu uje utuletee mrejesho yani jobless afu unataka wazurimimi sio graduate wa chuo am just ahigh school gdt with no job no busness
Duuu jibu zito sana hili mkuu usiwakatishe vijana tamaaWe utapiga puli hadi ukome, we unazani wote wenye wake wanakazi nzuri! Tatizo graduate unataka kazi nzuri, unatamani uwe na nyumba gari Kali hiyo iliishia miaka yetu ambapo tulikuwa tunapata kazi tukiwa mwaka wa mwisho chuoni
Sent using Jamii Forums mobile app
We mdanganye tuu ili awaletee wenye pesakatafute mwanamke kijijini umlete mjini
Mwanaume huwezi kusema huna kazi yaan hata kuchimba mitaro huwezi unaamka asubuhi na kukaa tu nyumbani??mimi sio graduate wa chuo am just ahigh school gdt with no job no busness
😀
ule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.
Mapenzi yapo kwa mtu wa level yako kipesa, kielemu na kijamii. sasa ukitaka watoto matawi na wewe ni Kapuku utaambulia maumivu tuu
Mshauri aende wapi badala ya kwenda MCWanawake wa kuoa wapo Ila tatizo unataka wanawake wa mlimani city,ambao unakuta tiyari ampendeza ,baba hao wapo kimaslai zaidi unakuta mpaka ampendeza vile ni investment kafanya kuvutia ww na ukatoa pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndipo tulipofikia kabisa kabisa.Na kama hufanyi kazi nzuri nzuri ktk ofisi fulani ndo unadhalaulika sana.Tukubaliane kuzeeka mabachela tusio na hela.ule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.
Unachokisema kiasi furani kina ukweli wake ujue, but piga moyo konde one day Yes hauko peke yakoule usemi ngombe wa maskini hazai sasa ivi naushuhudia kwa macho yangu,kijana wakiume kupata mke kama maisha yake duni tusahau ilo ,binti anachat ukimwambia financialy haupo vizuri ansepa hahahaaa mimi nimetafuta hadi imefika muda nimekubali matokeo no money no love na kama itaendelea ivi kuna uwezekano hata mtoto nisipate.