Tutegemee CHADEMA kuanza kutetea wamachinga?

Bavicha mna roho mbaya sana. Hata wanyonge mnawaonea wivu!! Kisa hawakushiriki maandamano yenu na hawakuwapa kura basi wamekua maadui zenu. Mnatete shamba la Mbowe huku mnashabikiwa masikini waharibiwe hata wanachokitegemea pekee
Toka lini Etwege akawa chadema? Huyo ni damu mbaya mazee,damu ya kijani
 
Sidhani kama watawatetea kwakua hawana akili za kipumbavu kama aliye waruhusu wachafue jiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…