Tutegemee nini toka kwa Kocha Muargentina?

Tutegemee nini toka kwa Kocha Muargentina?

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
wanayanga kitu muhimu cha kutegemea kutoka kwa kocha mpya mu-algentina ni ubora wa soka usishuke ila uzidi kupanda kiasi cha kuzionea timu nje ndani na za kimataifa.

Ninachowataka Wanayanga wenzangu na uongozi ni kukubali ya kuwa kila kocha anakuja na mfumo wake wa ufundishaji ambao kwa kiasi kikubwa inategemea wachezaji alowakuta itawachukua kiasi gani kuuelewa haraka.

Kocha Nabi alibahatika sana kupata wachezaji ambao iliwachukua muda mfupi sana kuuelewa mfumo wake na matunda yake Yanga kuingia Fainali ya makombe ya CAF.

Mungu ibariki Yanga! Mungu wabariki viongozi na wanachama wa yanga wapate hekima ya kujua kushinda na kushindwa ni moja ya hatua ya kujenga mbinu bora za kukuza ubora wa soka.
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
... kibibi uko macho? Usiku mnene huu. Anyway, dunia duara.
 
wanayanga kitu muhimu cha kutegemea kutoka kwa kocha mpya mu-algentina ni ubora wa soka usishuke ila uzidi kupanda kiasi cha kuzionea timu nje ndani na za kimataifa.

ninachowataka wanayanga wenzangu na uongozi ni kukubali ya kuwa kila kocha anakuja na mfumo wake wa ufundishaji ambao kwa kiasi kikubwa inategemea wachezaji alowakuta itawachukua kiasi gani kuuelewa haraka. Kocha Nabi alibahatika sana kupata wachezaji ambao iliwachukua muda mfupi sana kuuelewa mfumo wake na matunda yake Yanga kuingia Fainali ya makombe ya CAF.
Mungu ibariki Yanga !Mungu wabariki viongozi na wanachama wa yanga wapate hekima ya kujua kushinda na kushindwa ni moja ya hatua ya kujenga mbinu bora za kukuza ubora wa soka.
akipewa ushirikiano tutapata makubwa
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Hapa umeongea ukweli mtupu
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Umeingia cha kike fuhler
 
wanayanga kitu muhimu cha kutegemea kutoka kwa kocha mpya mu-algentina ni ubora wa soka usishuke ila uzidi kupanda kiasi cha kuzionea timu nje ndani na za kimataifa.

ninachowataka wanayanga wenzangu na uongozi ni kukubali ya kuwa kila kocha anakuja na mfumo wake wa ufundishaji ambao kwa kiasi kikubwa inategemea wachezaji alowakuta itawachukua kiasi gani kuuelewa haraka. Kocha Nabi alibahatika sana kupata wachezaji ambao iliwachukua muda mfupi sana kuuelewa mfumo wake na matunda yake Yanga kuingia Fainali ya makombe ya CAF.
Mungu ibariki Yanga !Mungu wabariki viongozi na wanachama wa yanga wapate hekima ya kujua kushinda na kushindwa ni moja ya hatua ya kujenga mbinu bora za kukuza ubora wa soka.
Yule ndugu yetu katika imaani Nabi tulimvumilia na kumpa timu muda mrefu ndio ukaona mafanikio.

Kama Waarabu si Wabaguzi basi ujuwe hata huo ubaguzi wenyewe haupo.

Nioneshe mswahili mmoja tu wa kariakoo aliyeowa Mwarabu ili uthibitishe Waarabu si wabaguzi.
 
wanayanga kitu muhimu cha kutegemea kutoka kwa kocha mpya mu-algentina ni ubora wa soka usishuke ila uzidi kupanda kiasi cha kuzionea timu nje ndani na za kimataifa.

Ninachowataka Wanayanga wenzangu na uongozi ni kukubali ya kuwa kila kocha anakuja na mfumo wake wa ufundishaji ambao kwa kiasi kikubwa inategemea wachezaji alowakuta itawachukua kiasi gani kuuelewa haraka.

Kocha Nabi alibahatika sana kupata wachezaji ambao iliwachukua muda mfupi sana kuuelewa mfumo wake na matunda yake Yanga kuingia Fainali ya makombe ya CAF.

Mungu ibariki Yanga! Mungu wabariki viongozi na wanachama wa yanga wapate hekima ya kujua kushinda na kushindwa ni moja ya hatua ya kujenga mbinu bora za kukuza ubora wa soka.
Argentina 🇦🇷 not Algentina
 
Tunapenda tupate mshindan imara na sio dhaifu
Mngewekeza nguvu zenu huku.

 
Ataonyeshwa mlango kabla ya October. CV yake inaonyesha uwezo wake ni kishinda 1/3 ya mechi anazocheza.
 
Back
Top Bottom