Tutegemee Reshuffle ya Cabinet?

Hivi hizi PhD zao wanaokota wapi ?
Ph.D za wanasiasa ni kwa ajili ya kutishia. Akiona hawatishiki anaitaja kwenye TV ili nchi ijue ana Ph.D.
PhD. ina thamani inapokuwezesha kuwasiliana na dunia. Angalia sasa! Mwigulu hajawahi kuandika chapisho lolote toka ktk hiyo Ph.D. Maana yake haina lolote la kuwasilisha duniani!
 
Aiseee !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…