Tuthamini vya kwetu

Tint Alexandre Arnold

Senior Member
Joined
Feb 28, 2019
Posts
123
Reaction score
148
Wazungu wametengeneza simu ambayo unaweza kuongea na mtu aliye mbali hata kwa video chat mkaonana halafu hii tunaita technolojia, lakini bibi yako kijijini akitumia kiyoo kuongea na mwenzake au akitumia ufagio kupaa mnamuita mchawi..

Waafrika ni lini tutathamini vya kwetu? tutathamini vya kwetu?
 
Ungeanza kuvaa magome ya miti kwanza kama zamani,hizo nguo ukatupa,ungekua umetuonesha kwa vitendo hayo unayosema!
 
Nitakita NANGA hapa kwa ajili ya Michango ya WADAU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…