Tutoane ushamba wadau kuhusu pikipiki zinazobeba kama chai Maharage

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Jana wakati niko kwenye basi natoka mkoa kuanzia Mitaa ya Mbezi mpaka Kimara kuna aina flani ya bajaji nimeziona za njano hivi... sijui niziite bajaji za kichina au piki piki ila zinabeba abiria kwa mtindo wa chai maharage. Yani watu wa 4 ila wanakaa kwa kutazamana wawili kila upande!

Mwenye ufahamu anijuze kuhusu hivyo vibajaji/ pikipiki binafsi nimeona kama naweza kuvigeuza fursa ikiwa viko affordable!
 
Bajaji canter

Vrou van samaria give me bit of water to drink
 
Hizo sindio zile alizoshauri kangi lugola ... ziletwe nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…