Tutumie electric bike na electric car sio vyombo vya moto

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Teknologia imeongezeka kwa sasa hivi watu wanatumia pikipiki za umeme na magari ya umeme, kwa sheria za tanzania hivyo sio vyombo vya moto hivyo havina bima wala hahutaji leseni kuviendesha ni kama unaendesha baiskeli au guta au mkokoteni wa ngombe, pia hamna kuingia sheli kunywa mafuta ukifika home unaicharge tu kama simu ya tecno. baiskeli hii inaweza enda hadi 25km/h yaani ubungo kariakoo robo saa na eletric car inaweza tembea hadi 60km/h na zaidi. Tena hizi gari ni rafiki wa mazingira na hakuna air polution.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…