Pre GE2025 Tuunde combination ya Wanasiasa ambao wakiungana na kuanzisha chama kipya makijani lazima wakae

Pre GE2025 Tuunde combination ya Wanasiasa ambao wakiungana na kuanzisha chama kipya makijani lazima wakae

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

cleokippo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2014
Posts
2,118
Reaction score
1,797
Habar wana nzengo,

Kumekuwa na matamanio makubwa sana kwa wananchi kutaka kuona mabadiliko ya kiutawala kwa kuamini ya kwamba utawala uliopo madarakani hivi sasa unakiuka misingi ya dwmokrasia, haki na utawala bora

Sasa basi kupitia mitazamo hiyo ya wananchi, leo hii nimeamua kuja na hoja yangu ambayo kwa kiasi flani naona kama ina mashiko.

Kuuondoa utawala uliopo madarakani kupitia vyama vya upinzani vilivyopo hivi sasa ni ndoto za alinacha kwan kwa sasa tanzania hakuna vyama/ chama chochote cha upinzani kwakuwa vyama vyoto vimepoteza mvuto japo baadhi ya vyama vina raslimari watu

Sasa ili serikali iliyopo madarakani iondoke ni vyema kuwe na combination ya baadhi ya wana siasa machachar na wenye mvuto na pia wawe na nguvu ya ushawishi na waanzishe chama kipya kabisa hapo ndio wananchi wataona mabadiliko

Miongoni mwa combination ya wana siasa hao ni kama
Tundulisu
Dr slaa
Godbless lema
Mchungaji msigwa
Zito kabwe
Mdee
Bulaya
Matiku
Polepole
Mnyika
Kafulila
Usajil kama wa kassim majaliwa
Usajil wa job ndugai

Wengine mtaongezea na nyie uko

Kupitia chama kipya na muungano wa hao viongoz upo uwezekano mkubwa wa kuwakaliwa hao makijani kwenye sanduku la kula

Chadema sio chama kibaya cha upinzan ispokuwa kina fail kwakuwa watu hawana imani nacho kupitia kiongozi wao mkuu

Wengi wanaamini kama chadema ni chama cha familia, wengine wanaamini ni kama cha ukanda wa kaskazin, pia wengine wanaamin kama ni wabinafsi sana

Hivyo bas kutokana na watu kuamini hivyo hao wapinzani watasubir sana

Wanasiasa ambao mmebahatika kusoma uzi wangu, bebeni hiyo i dear bilashaka mtakuja kunishukuru

Sio lazima sana mtembee na hiyo combination ya wana siasa nilio waainisha ila point ya msingi ni kuunda chama kipya chenye wanasiasa wenye mvuto
 
Habar wana nzengo,
Kumekuwa na matamanio makubwa sana kwa wananchi kutaka kuona mabadiliko ya kiutawala kwa kuamini ya kwamba utawala uliopo madarakani hivi sasa unakiuka misingi ya dwmokrasia, haki na utawala bora

Sasa basi kupitia mitazamo hiyo ya wananchi, leo hii nimeamua kuja na hoja yangu ambayo kwa kiasi flani naona kama ina mashiko.

Kuuondoa utawala uliopo madarakani kupitia vyama vya upinzani vilivyopo hivi sasa ni ndoto za alinacha kwan kwa sasa tanzania hakuna vyama/ chama chochote cha upinzani kwakuwa vyama vyoto vimepoteza mvuto japo baadhi ya vyama vina raslimari watu

Sasa ili serikali iliyopo madarakani iondoke ni vyema kuwe na combination ya baadhi ya wana siasa machachar na wenye mvuto na pia wawe na nguvu ya ushawishi na waanzishe chama kipya kabisa hapo ndio wananchi wataona mabadiliko

Miongoni mwa combination ya wana siasa hao ni kama
Tundulisu
Dr slaa
Godbless lema
Mchungaji msigwa
Zito kabwe
Mdee
Bulaya
Matiku
Polepole
Mnyika
Kafulila
Usajil kama wa kassim majaliwa
Usajil wa job ndugai

Wengine mtaongezea na nyie uko

Kupitia chama kipya na muungano wa hao viongoz upo uwezekano mkubwa wa kuwakaliwa hao makijani kwenye sanduku la kula

Chadema sio chama kibaya cha upinzan ispokuwa kina fail kwakuwa watu hawana imani nacho kupitia kiongozi wao mkuu

Wengi wanaamini kama chadema ni chama cha familia, wengine wanaamini ni kama cha ukanda wa kaskazin, pia wengine wanaamin kama ni wabinafsi sana

Hivyo bas kutokana na watu kuamini hivyo hao wapinzani watasubir sana

Wanasiasa ambao mmebahatika kusoma uzi wangu, bebeni hiyo i dear bilashaka mtakuja kunishukuru

Sio lazima sana mtembee na hiyo combination ya wana siasa nilio waainisha ila point ya msingi ni kuunda chama kipya chenye wanasiasa wenye mvuto
Kwa post hii ni dhahiri kuwa wewe unatumika na hao magamba😎
 
Habar wana nzengo,
Kumekuwa na matamanio makubwa sana kwa wananchi kutaka kuona mabadiliko ya kiutawala kwa kuamini ya kwamba utawala uliopo madarakani hivi sasa unakiuka misingi ya dwmokrasia, haki na utawala bora

Sasa basi kupitia mitazamo hiyo ya wananchi, leo hii nimeamua kuja na hoja yangu ambayo kwa kiasi flani naona kama ina mashiko.

Kuuondoa utawala uliopo madarakani kupitia vyama vya upinzani vilivyopo hivi sasa ni ndoto za alinacha kwan kwa sasa tanzania hakuna vyama/ chama chochote cha upinzani kwakuwa vyama vyoto vimepoteza mvuto japo baadhi ya vyama vina raslimari watu

Sasa ili serikali iliyopo madarakani iondoke ni vyema kuwe na combination ya baadhi ya wana siasa machachar na wenye mvuto na pia wawe na nguvu ya ushawishi na waanzishe chama kipya kabisa hapo ndio wananchi wataona mabadiliko

Miongoni mwa combination ya wana siasa hao ni kama
Tundulisu
Dr slaa
Godbless lema
Mchungaji msigwa
Zito kabwe
Mdee
Bulaya
Matiku
Polepole
Mnyika
Kafulila
Usajil kama wa kassim majaliwa
Usajil wa job ndugai

Wengine mtaongezea na nyie uko

Kupitia chama kipya na muungano wa hao viongoz upo uwezekano mkubwa wa kuwakaliwa hao makijani kwenye sanduku la kula

Chadema sio chama kibaya cha upinzan ispokuwa kina fail kwakuwa watu hawana imani nacho kupitia kiongozi wao mkuu

Wengi wanaamini kama chadema ni chama cha familia, wengine wanaamini ni kama cha ukanda wa kaskazin, pia wengine wanaamin kama ni wabinafsi sana

Hivyo bas kutokana na watu kuamini hivyo hao wapinzani watasubir sana

Wanasiasa ambao mmebahatika kusoma uzi wangu, bebeni hiyo i dear bilashaka mtakuja kunishukuru

Sio lazima sana mtembee na hiyo combination ya wana siasa nilio waainisha ila point ya msingi ni kuunda chama kipya chenye wanasiasa wenye mvuto
Kwaku mtaja msigwa kwenye hii list uzi wote umeupaka mavi mabichi
 
Habar wana nzengo,

Kumekuwa na matamanio makubwa sana kwa wananchi kutaka kuona mabadiliko ya kiutawala kwa kuamini ya kwamba utawala uliopo madarakani hivi sasa unakiuka misingi ya dwmokrasia, haki na utawala bora

Sasa basi kupitia mitazamo hiyo ya wananchi, leo hii nimeamua kuja na hoja yangu ambayo kwa kiasi flani naona kama ina mashiko.

Kuuondoa utawala uliopo madarakani kupitia vyama vya upinzani vilivyopo hivi sasa ni ndoto za alinacha kwan kwa sasa tanzania hakuna vyama/ chama chochote cha upinzani kwakuwa vyama vyoto vimepoteza mvuto japo baadhi ya vyama vina raslimari watu

Sasa ili serikali iliyopo madarakani iondoke ni vyema kuwe na combination ya baadhi ya wana siasa machachar na wenye mvuto na pia wawe na nguvu ya ushawishi na waanzishe chama kipya kabisa hapo ndio wananchi wataona mabadiliko

Miongoni mwa combination ya wana siasa hao ni kama
Tundulisu
Dr slaa
Godbless lema
Mchungaji msigwa
Zito kabwe
Mdee
Bulaya
Matiku
Polepole
Mnyika
Kafulila
Usajil kama wa kassim majaliwa
Usajil wa job ndugai

Wengine mtaongezea na nyie uko

Kupitia chama kipya na muungano wa hao viongoz upo uwezekano mkubwa wa kuwakaliwa hao makijani kwenye sanduku la kula

Chadema sio chama kibaya cha upinzan ispokuwa kina fail kwakuwa watu hawana imani nacho kupitia kiongozi wao mkuu

Wengi wanaamini kama chadema ni chama cha familia, wengine wanaamini ni kama cha ukanda wa kaskazin, pia wengine wanaamin kama ni wabinafsi sana

Hivyo bas kutokana na watu kuamini hivyo hao wapinzani watasubir sana

Wanasiasa ambao mmebahatika kusoma uzi wangu, bebeni hiyo i dear bilashaka mtakuja kunishukuru

Sio lazima sana mtembee na hiyo combination ya wana siasa nilio waainisha ila point ya msingi ni kuunda chama kipya chenye wanasiasa wenye mvuto
Bahati mbaya sana kwamba kwa character zao hawawezi kukaa nyumba moja kwa zaidi ya miezi sita pakakalika. Hao wote ni mafahali na mafahali hawakai zizi moja.
 
Habar wana nzengo,

Kumekuwa na matamanio makubwa sana kwa wananchi kutaka kuona mabadiliko ya kiutawala kwa kuamini ya kwamba utawala uliopo madarakani hivi sasa unakiuka misingi ya dwmokrasia, haki na utawala bora

Sasa basi kupitia mitazamo hiyo ya wananchi, leo hii nimeamua kuja na hoja yangu ambayo kwa kiasi flani naona kama ina mashiko.

Kuuondoa utawala uliopo madarakani kupitia vyama vya upinzani vilivyopo hivi sasa ni ndoto za alinacha kwan kwa sasa tanzania hakuna vyama/ chama chochote cha upinzani kwakuwa vyama vyoto vimepoteza mvuto japo baadhi ya vyama vina raslimari watu

Sasa ili serikali iliyopo madarakani iondoke ni vyema kuwe na combination ya baadhi ya wana siasa machachar na wenye mvuto na pia wawe na nguvu ya ushawishi na waanzishe chama kipya kabisa hapo ndio wananchi wataona mabadiliko

Miongoni mwa combination ya wana siasa hao ni kama
Tundulisu
Dr slaa
Godbless lema
Mchungaji msigwa
Zito kabwe
Mdee
Bulaya
Matiku
Polepole
Mnyika
Kafulila
Usajil kama wa kassim majaliwa
Usajil wa job ndugai

Wengine mtaongezea na nyie uko

Kupitia chama kipya na muungano wa hao viongoz upo uwezekano mkubwa wa kuwakaliwa hao makijani kwenye sanduku la kula

Chadema sio chama kibaya cha upinzan ispokuwa kina fail kwakuwa watu hawana imani nacho kupitia kiongozi wao mkuu

Wengi wanaamini kama chadema ni chama cha familia, wengine wanaamini ni kama cha ukanda wa kaskazin, pia wengine wanaamin kama ni wabinafsi sana

Hivyo bas kutokana na watu kuamini hivyo hao wapinzani watasubir sana

Wanasiasa ambao mmebahatika kusoma uzi wangu, bebeni hiyo i dear bilashaka mtakuja kunishukuru

Sio lazima sana mtembee na hiyo combination ya wana siasa nilio waainisha ila point ya msingi ni kuunda chama kipya chenye wanasiasa wenye mvuto
Sijasoma yote lkn kwa ninachokijua hata umlete nani awe mpinzani kwenye sanduku la kura ni ngumu kuing'oa CCM madarakani.ccm itatoka madarakani siku Dora inatakapo wachoka , Tofauti na hapo labda wananchi waamue vinginevyo na sio kwa kura( bahati mbaya wananchi wa namna hiyo kwa sasa hawajazaliwa)
 
Habar wana nzengo,

Kumekuwa na matamanio makubwa sana kwa wananchi kutaka kuona mabadiliko ya kiutawala kwa kuamini ya kwamba utawala uliopo madarakani hivi sasa unakiuka misingi ya dwmokrasia, haki na utawala bora

Sasa basi kupitia mitazamo hiyo ya wananchi, leo hii nimeamua kuja na hoja yangu ambayo kwa kiasi flani naona kama ina mashiko.

Kuuondoa utawala uliopo madarakani kupitia vyama vya upinzani vilivyopo hivi sasa ni ndoto za alinacha kwan kwa sasa tanzania hakuna vyama/ chama chochote cha upinzani kwakuwa vyama vyoto vimepoteza mvuto japo baadhi ya vyama vina raslimari watu

Sasa ili serikali iliyopo madarakani iondoke ni vyema kuwe na combination ya baadhi ya wana siasa machachar na wenye mvuto na pia wawe na nguvu ya ushawishi na waanzishe chama kipya kabisa hapo ndio wananchi wataona mabadiliko

Miongoni mwa combination ya wana siasa hao ni kama
Tundulisu
Dr slaa
Godbless lema
Mchungaji msigwa
Zito kabwe
Mdee
Bulaya
Matiku
Polepole
Mnyika
Kafulila
Usajil kama wa kassim majaliwa
Usajil wa job ndugai

Wengine mtaongezea na nyie uko

Kupitia chama kipya na muungano wa hao viongoz upo uwezekano mkubwa wa kuwakaliwa hao makijani kwenye sanduku la kula

Chadema sio chama kibaya cha upinzan ispokuwa kina fail kwakuwa watu hawana imani nacho kupitia kiongozi wao mkuu

Wengi wanaamini kama chadema ni chama cha familia, wengine wanaamini ni kama cha ukanda wa kaskazin, pia wengine wanaamin kama ni wabinafsi sana

Hivyo bas kutokana na watu kuamini hivyo hao wapinzani watasubir sana

Wanasiasa ambao mmebahatika kusoma uzi wangu, bebeni hiyo i dear bilashaka mtakuja kunishukuru

Sio lazima sana mtembee na hiyo combination ya wana siasa nilio waainisha ila point ya msingi ni kuunda chama kipya chenye wanasiasa wenye mvuto
Issu siyo watu Bali katiba ya sasa inayorushush kuibiwa kura na usihojiwe
 
Habar wana nzengo,

Kumekuwa na matamanio makubwa sana kwa wananchi kutaka kuona mabadiliko ya kiutawala kwa kuamini ya kwamba utawala uliopo madarakani hivi sasa unakiuka misingi ya dwmokrasia, haki na utawala bora

Sasa basi kupitia mitazamo hiyo ya wananchi, leo hii nimeamua kuja na hoja yangu ambayo kwa kiasi flani naona kama ina mashiko.

Kuuondoa utawala uliopo madarakani kupitia vyama vya upinzani vilivyopo hivi sasa ni ndoto za alinacha kwan kwa sasa tanzania hakuna vyama/ chama chochote cha upinzani kwakuwa vyama vyoto vimepoteza mvuto japo baadhi ya vyama vina raslimari watu

Sasa ili serikali iliyopo madarakani iondoke ni vyema kuwe na combination ya baadhi ya wana siasa machachar na wenye mvuto na pia wawe na nguvu ya ushawishi na waanzishe chama kipya kabisa hapo ndio wananchi wataona mabadiliko

Miongoni mwa combination ya wana siasa hao ni kama
Tundulisu
Dr slaa
Godbless lema
Mchungaji msigwa
Zito kabwe
Mdee
Bulaya
Matiku
Polepole
Mnyika
Kafulila
Usajil kama wa kassim majaliwa
Usajil wa job ndugai

Wengine mtaongezea na nyie uko

Kupitia chama kipya na muungano wa hao viongoz upo uwezekano mkubwa wa kuwakaliwa hao makijani kwenye sanduku la kula

Chadema sio chama kibaya cha upinzan ispokuwa kina fail kwakuwa watu hawana imani nacho kupitia kiongozi wao mkuu

Wengi wanaamini kama chadema ni chama cha familia, wengine wanaamini ni kama cha ukanda wa kaskazin, pia wengine wanaamin kama ni wabinafsi sana

Hivyo bas kutokana na watu kuamini hivyo hao wapinzani watasubir sana

Wanasiasa ambao mmebahatika kusoma uzi wangu, bebeni hiyo i dear bilashaka mtakuja kunishukuru

Sio lazima sana mtembee na hiyo combination ya wana siasa nilio waainisha ila point ya msingi ni kuunda chama kipya chenye wanasiasa wenye mvuto
Kutuwekea 'wahongeki' Msigwa na Zito umeifubaza mada yako.

Umekosa watu wa maana kama kina Mwabukusi unatubandikia tena makapi!

Weka watu 'pure' wasio na makando kando ya mirungula.
 
Back
Top Bottom