maana si kwa kutaka tujuwane hivyoo [emoji2] [emoji2] [emoji2]ha haa haa ...[emoji23] [emoji23]
Funguka sasa mkuu lete mastorha haaa yaani humu ni mixer siunajua tena love connect ila nataka ibua story ili tupige sote hapa
Angejua route niliyotumia kupata hii ID hapa eti tujuane, na nani?Kujuana na nani? Kwani hapa si tunaongea na kushaurina
[emoji16][emoji16] ... kama JF sio kuokota okota tu watu wa kujuana nao cha zaidi uhuru utakuishaAngejua route niliyotumia kupata hii ID hapa eti tujuane, na nani?
Hapa ni pa kupunguzia stress huyu ataka kupafanya pa kubebea stress.[emoji16][emoji16] ... kama JF sio kuokota okota tu watu wa kujuana nao cha zaidi uhuru utakuisha
Exactly, but may be there's bracketed thing he has.Hapa ni pa kupunguzia stress huyu ataka kupafanya pa kubebea stress.