Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Baada ya taarifa za kuwepo harakati za muungano wa Tanzania na Burundi. Ni wakati Sasa jambo hili lipewe nafasi na lifanyike Kwa haraka.
Jamii ya warundi ni tiifu Kwa Tanzania na miaka yote kuanzia raia mpaka serikali ya Burundi wamejiona salama chini ya Tanzania mpaka kufikia kuwa na kura ya pamoja katika Baraza la usalama la umoja wa mataifa.
Katika Kila jambo Burundi itasubiri kuona Tanzania imeamua nini na huo ndio itakua msimamo wao pia.
Hii ni utii wa halo ya juu. Muungano huanzia moyoni, muungano huanzia katika kuheshimiana.
Tuanahitaji kutawala eneo kubwa la ziwa Tanganyika lenye mafuta na gesi pia na usafiri wa maji. Kupitia Tanganyika, eneo lote la kivu kusini litayuhitaji Kwa Kila namna.
Biashara ya mabilioni ya Dola zitamilikiwa na WA Tanzania. Baada ya muungano, Sasa Bujumbura otakuwa kama Kariakoo. Biashara zote Toka nje zitafanyika pale.
Nchi za Congo, Angola na Jamihuri ya kati watakija Bujumbura Kwa mahitaji ya kibiashara. Congo itaondoa utegemezi Kwa mipaka ya Kisenyi na Bunagana na hivyo biashara zote zitapitia Bujumbura.
Miji ya Uvira, Bukavu, Goma, Ituri, Kisangani na Mpaka Kabinda na Bangui wote watakuja Bujumbura.
Biashara ya Madini Toka Congo itafanyika Bujumbura Kwa amani, Tanzania wa kawaida watajazana kwenye machimbo ya Congo na kujipatia Ajira .
Wakongo wengi wamejazana mijini na kuacha maeneo makubwa yenye ardhi nzuri yakiwa wazi. Hiyo ni fursa Kwa wakulima wa mazo ya Chai nankahawa kupata fursa.
Congo atafurahi kuwa karibu na rafiki wa kweli mwenye Nia njema. Kuna nchi zikisikia muungano huu lazima zipate kiwewe, kwakua fursa zote zitaelekea Tanzania. Lakini Jina la nchi libaki kuwa Tanzania, Burundi ijiunga kama mkoa.
Mwisho niseme.
Tuanahitaji Burundi ili tunufaike na Congo
Jamii ya warundi ni tiifu Kwa Tanzania na miaka yote kuanzia raia mpaka serikali ya Burundi wamejiona salama chini ya Tanzania mpaka kufikia kuwa na kura ya pamoja katika Baraza la usalama la umoja wa mataifa.
Katika Kila jambo Burundi itasubiri kuona Tanzania imeamua nini na huo ndio itakua msimamo wao pia.
Hii ni utii wa halo ya juu. Muungano huanzia moyoni, muungano huanzia katika kuheshimiana.
Tuanahitaji kutawala eneo kubwa la ziwa Tanganyika lenye mafuta na gesi pia na usafiri wa maji. Kupitia Tanganyika, eneo lote la kivu kusini litayuhitaji Kwa Kila namna.
Biashara ya mabilioni ya Dola zitamilikiwa na WA Tanzania. Baada ya muungano, Sasa Bujumbura otakuwa kama Kariakoo. Biashara zote Toka nje zitafanyika pale.
Nchi za Congo, Angola na Jamihuri ya kati watakija Bujumbura Kwa mahitaji ya kibiashara. Congo itaondoa utegemezi Kwa mipaka ya Kisenyi na Bunagana na hivyo biashara zote zitapitia Bujumbura.
Miji ya Uvira, Bukavu, Goma, Ituri, Kisangani na Mpaka Kabinda na Bangui wote watakuja Bujumbura.
Biashara ya Madini Toka Congo itafanyika Bujumbura Kwa amani, Tanzania wa kawaida watajazana kwenye machimbo ya Congo na kujipatia Ajira .
Wakongo wengi wamejazana mijini na kuacha maeneo makubwa yenye ardhi nzuri yakiwa wazi. Hiyo ni fursa Kwa wakulima wa mazo ya Chai nankahawa kupata fursa.
Congo atafurahi kuwa karibu na rafiki wa kweli mwenye Nia njema. Kuna nchi zikisikia muungano huu lazima zipate kiwewe, kwakua fursa zote zitaelekea Tanzania. Lakini Jina la nchi libaki kuwa Tanzania, Burundi ijiunga kama mkoa.
Mwisho niseme.
Tuanahitaji Burundi ili tunufaike na Congo