Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,107
Nimeangalia kipindi cha harakati cha kala pina kinachorushwa na television ya kilauzi (japo siipendi), nimekuta waungwana wanaangalia mahali nikajikuta na mm nimekodolea macho.
Alikuwa anamhoji mama mmoja aliyeathirika na madawa ila kwa sasa ameacha.... La msingi sio huyo mama Bali ni mtoto wake Keneth Lwakatare aliyemaliza form six akapata division two na kupangiwa kwenda mzumbe university.
Mama Hana msaada kwa kijana, kijana amekosa mkopo, na hawezi kuendelea tena na masomo kwa sababu Hana mkopo.
Mama analia akiomba mkopo toka kwa wadau na kijana anaongea kwa machungu akiamini kusoma kwake kusoma kwake kungekuja kuikomboa familia yake.
Hebu Tuungane, kumsaidia huyu kijana kutimizza ndoto zake. Kwa Hali na Mali..... Watu wa bodi ya mkopo mliopo humu Hebu fanyeni namna jamani... Na kwa watanzania wa kawaida ukiguswa fanya kitu.
Imenigusa, inaanza na wewe.
Alikuwa anamhoji mama mmoja aliyeathirika na madawa ila kwa sasa ameacha.... La msingi sio huyo mama Bali ni mtoto wake Keneth Lwakatare aliyemaliza form six akapata division two na kupangiwa kwenda mzumbe university.
Mama Hana msaada kwa kijana, kijana amekosa mkopo, na hawezi kuendelea tena na masomo kwa sababu Hana mkopo.
Mama analia akiomba mkopo toka kwa wadau na kijana anaongea kwa machungu akiamini kusoma kwake kusoma kwake kungekuja kuikomboa familia yake.
Hebu Tuungane, kumsaidia huyu kijana kutimizza ndoto zake. Kwa Hali na Mali..... Watu wa bodi ya mkopo mliopo humu Hebu fanyeni namna jamani... Na kwa watanzania wa kawaida ukiguswa fanya kitu.
Imenigusa, inaanza na wewe.