Tuungane na Mange kumchangia Lisu

Tuungane na Mange kumchangia Lisu

Yeye mwenyewe anahitaji michango kujikimu!
 
HABARI WANA JUKWAA
Nmepitia ukurasa wa Mange Kimambi instagram kuna kampeni kaianzisha ya kumchangia Mh Lissu gharama za matibabu.So kwa ataependezwa juu ya hili apitie ukurasa wa huyo dada kupata link za kuweza kuwasilisha michango yetu.

done, nimechangia "get well soon TL"
 
Isiye kua inapita kwake tu, manake siku izi,... Watu wanajua kutumia matukio
 
Si uandike watu wakijiunga kwa app yake ambayo lazima ulipie kuona anayorusha.. ndio anadai akipokea pesa hizo za watu kujiunga atatoa zote ziende kuchangia kumtibu Mh. Lissu
 
Pamoja na kuchangia Gharama za Lissu ambazo ni ghali sana pia uangaliwe namna bora ya kupunguza Gharama zisizo za Lazima!

Kuna Kundi kubwa la Wabunge wa Chadema wamejirundika kule Nairobi kazi ku jirekodi na ku post Mipasho kwa Ndugai huku wakihudumiwa kwa michango ya Lissu Eti wanamuuguza Lissu, ni bora wangejazwa Ndugu zake badala ya Wanasiasa
 
Lowassa na mbowe watoe pesa haraka ,,Lissu akatibiwe,,,huku mchango ukiendelea

Lowassa arudishe ule Moyo wake wa kuchangia harambee Makanisani abebe Gharama za Lissu, Ngoyai kutoa 500 Million kwake ni kitu kidogo sana akiamua nikikumbuka Yale Maharambee yake

Chadema wazungumze na Ndugu Hamis Mgeja ndio Mtu pekee anaemmudu Lowassa Kwny kumshawishi kutoa Pesa, rejea Fedha za kampeni za Wabunge na Madiwani wa Ukawa 2015
 
Chadema wazungumze na Ndugu Hamis Mgeja ndio Mtu pekee anaemmudu Lowassa Kwny kumshawishi kutoa Pesa, rejea Fedha za kampeni za Wabunge na Madiwani wa Ukawa 2015
Lowassa hawezi kutoa hata senti tano kwa Lissu,alimtukana sana na kumdhalilisha ndio kwanza anaombea afe kabisa.
Lissu ni tatizo kwa chadema wenyewe.Lissu anaogopwa akitangaza kugombea uenyekiti au kuomba nia ya kuteuliwa kugombea Urais wa kaskazini watakosa ushawishi,lakini watu wanasingizia serikali
 
Pamoja na kuchangia Gharama za Lissu ambazo ni ghali sana pia uangaliwe namna bora ya kupunguza Gharama zisizo za Lazima!

Kuna Kundi kubwa la Wabunge wa Chadema wamejirundika kule Nairobi kazi ku jirekodi na ku post Mipasho kwa Ndugai huku wakihudumiwa kwa michango ya Lissu Eti wanamuuguza Lissu, ni bora wangejazwa Ndugu zake badala ya Wanasiasa

Hili mpate nafasi ya kumfikia TL haraka?
 
Si uandike watu wakijiunga kwa app yake ambayo lazima ulipie kuona anayorusha.. ndio anadai akipokea pesa hizo za watu kujiunga atatoa zote ziende kuchangia kumtibu Mh. Lissu
You are very stupid and don't mislead people here..

1. Kwanza kuchangia matibabu ya Lissu haupitii kwenye applc ya Mange...
Kuna namna ya kuchangia kupitia Akaunti ya Chadema na kwa walio nje wana utaratibu wao ambapo alichofanya huyu dada ni kutoa maelekezo ya namna ya kuchangia na kuhimiza watu wachangie. Hakuna senti inayopita kwa Mange.
Muongo mkubwa weee chokochannel..!!

2. Mange amesema kwa sababu anawekewa kauzibe na tcra watu washindwe kuingia kwenye app yake. Amewapa watu njia nyingine ya kuingia na akasema pesa atakayopata kupitia app yake, asilimia 10% atakuwa anawapa CHADEMA ili kuimarisha ulinzi wa Lissu. Hajasema pesa yote atakayopata kupitia app yake atawapa CHADEMA..

Shame on u.
 
Lowassa na mbowe watoe pesa haraka ,,Lissu akatibiwe,,,huku mchango ukiendelea
Walioratibu kushambuliwa kwake, wamezua tatizo na hawataki hata pesa ya umma ifanye kazi hiyo.

Mbowe na Lowassa wanachangia kama wananchi wa kawaida siyo kuwatwisha mzigo wote.
 
Ingekua vizuri kama familia ya Lissu ingeaminika na kupewa jukumu lote la uangalizi wa mgonjwa ikiwemo pesa za michango kufikia mikononi mwao,usemaji wa afya ya lissu na mengineyo maana imekua too much kila mwenye cheo cdm anataka kuwa mweka hazina na msemaji wa suala la Lissu
 
You are very stupid and don't mislead people here..

1. Kwanza kuchangia matibabu ya Lissu haupitii kwenye applc ya Mange...
Kuna namna ya kuchangia kupitia Akaunti ya Chadema na kwa walio nje wana utaratibu wao ambapo alichofanya huyu dada ni kutoa maelekezo ya namna ya kuchangia na kuhimiza watu wachangie. Hakuna senti inayopita kwa Mange.
Muongo mkubwa weee chokochannel..!!

2. Mange amesema kwa sababu anawekewa kauzibe na tcra watu washindwe kuingia kwenye app yake. Amewapa watu njia nyingine ya kuingia na akasema pesa atakayopata kupitia app yake, asilimia 10% atakuwa anawapa CHADEMA ili kuimarisha ulinzi wa Lissu. Hajasema pesa yote atakayopata kupitia app yake atawapa CHADEMA..

Shame on u.
toa povu hapa na mange wako
 
Back
Top Bottom