Picha Yako ktk Avatar Na Maneno Uliyoyasema Hapa Yanaendana Nikimaanisha Kuwa UMESEMA UKWELI, UNA UPEO MKUBWA na NIMEPENDA MCHANGO WAKO! Marais Nchi Hii Ni Wawili Tu Nyerere Na Mkapa Wengine Wanajaribu Tu ILA Msihofu Mkombozi Wenu GENTAMYCINE Nitawafuta Machungu Wote Mwaka 2035!