Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Ndugai ameonekana kuhoji mkopo wa serikali wa Tril.1.3,ni sawa lakini tukumbuke mambo mawili yafuatayo:
1.Mbona hakumuunga mkono CAG prof.Assad kipindi ambacho palikuwa na matumizi mabaya kupindukia ya fedha za umma?
NB: Trilioni 1.5 aliyohoji Zitto nayo je?
2.Kama lengo ni uwazi wa mkopo,
Mbona wapinzani waliteswa enzi za Magufuli (kuliko kipindi chochote)
ambao,wengi wao walihoji matumizi ya fedha za umma?
Na kwa nini katika kipindi hiki tu cha
mh.SSH ndicho anaonekana kuhoji na kukosoa?
Tuupime weledi wa NDUGAI kwa vigezo viwili hivi.
1.Mbona hakumuunga mkono CAG prof.Assad kipindi ambacho palikuwa na matumizi mabaya kupindukia ya fedha za umma?
NB: Trilioni 1.5 aliyohoji Zitto nayo je?
2.Kama lengo ni uwazi wa mkopo,
Mbona wapinzani waliteswa enzi za Magufuli (kuliko kipindi chochote)
ambao,wengi wao walihoji matumizi ya fedha za umma?
Na kwa nini katika kipindi hiki tu cha
mh.SSH ndicho anaonekana kuhoji na kukosoa?
Tuupime weledi wa NDUGAI kwa vigezo viwili hivi.