Hakuna muda maalum wa mtu kutakiwa kuhoji, muhimu ni kujibu hoja yake tu bora hajavunja sheria yoyote ya nchi. Unaonesha ulivyoathirika kiakili na mfumo wa hovyo unaotawala mihimili yetu.
Kwako kama makosa yamewahi kufanyika, basi yaachwe yaendelee kufanyika tu kwasababu ndio kawaida yenu, akitokea mtu wa kuhoji tofauti miongoni mwenu unamuona wa ajabu, amka usingizini, usiiangamize Tanzania yetu kwa upeo wako mdogo.