Tuwaambie ukweli au tuwaache kwanza hawa wahitimu na vitisho vyao?

Tuwaambie ukweli au tuwaache kwanza hawa wahitimu na vitisho vyao?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Kumekuwa na video inayosambaa mitandaoni ikionyesha wahitimu wakiwataka waliopo ofisini kuwa makini, kwa ujumbe wa tahadhari na msisitizo.

Je, ni wakati sahihi wa kuwaambia ukweli kuhusu hali halisi ya ajira, au tuwaache kwanza waendelee na matumaini yao?

 
Wakuu

Kumekuwa na video inayosambaa mitandaoni ikionyesha wahitimu wakiwataka waliopo ofisini kuwa makini, kwa ujumbe wa tahadhari na msisitizo.

Je, ni wakati sahihi wa kuwaambia ukweli kuhusu hali halisi ya ajira, au tuwaache kwanza waendelee na matumaini yao?

Usiwaambie chochote. Wacha waje. 😀
 
Back
Top Bottom