Wakuu
Kumekuwa na video inayosambaa mitandaoni ikionyesha wahitimu wakiwataka waliopo ofisini kuwa makini, kwa ujumbe wa tahadhari na msisitizo.
Je, ni wakati sahihi wa kuwaambia ukweli kuhusu hali halisi ya ajira, au tuwaache kwanza waendelee na matumaini yao?