Hahahahha kumbe tuko wengiNimo kwny hili kundi kinachofurahisha unachangia na kumiliki mada kuzidi muanzishaji
mbon kama una thread tayr au sijamwelewa mleta madaNimo kwny hili kundi kinachofurahisha unachangia na kumiliki mada kuzidi muanzishaji
Kweli kabisa na pasip wewe uzi unadodaaaNimo kwny hili kundi kinachofurahisha unachangia na kumiliki mada kuzidi muanzishaji
Na kweli we dada mchoyo hutaki kutoa yaliyo kichwani kwako!shauri zako utakufa nayo
Nakuona nakuona cha mdekoKweli kabisa na pasip wewe uzi unadodaaa
Joseverest anazo mada lkn sio nyingi nilivyomuelewa ni wale wasiopenda kuandika mada mara kwa mara mf mwingine ni emmyta nae ana uzi mmoja tu hiyo ni sawa na hakuna tu lkn kwa kuchangia sasa uzi gani emmyta utamkosambon kama una thread tayr au sijamwelewa mleta mada
Nipo napambana na hali yangu tu.Nakuona nakuona cha mdeko
hahha emmyta pita hukuJoseverest anazo mada lkn sio nyingi nilivyomuelewa ni wale wasiopenda kuandika mada mara kwa mara mf mwingine ni emmyta nae ana uzi mmoja tu hiyo ni sawa na hakuna tu lkn kwa kuchangia sasa uzi gani emmyta utamkosa
Ile thread ya miguu mitatu umeisahau au?Nimo kwny hili kundi kinachofurahisha unachangia na kumiliki mada kuzidi muanzishaji
Mi mvivu wa kutype na sio mpangiliaji mzuri lkn comments ni fupi ndo maana napenda kujadili kuliko kuanzisha mjadalaNi kweli nakuaminia kwa michango yako.huwa fikirishi sana.je ni vipi ukishusha thread yako si tutakuna vichwa sana kwa utamu
Happy women's dayNipo napambana na hali yangu tu.
Zawadi maalum kwa ajili yako siku hii muhimu.Nakuona nakuona cha mdeko
Soma post no 12Ile thread ya miguu mitatu umeisahau au?