Mountainmover
Member
- Nov 9, 2010
- 46
- 9
Nahisi utakuwa shoga,tukutane travertine magomeni pale week end,ntakuwa niko counter nina mzuzu mrefu sana ukiniona utanitambua tu ntakusolvia matatizo yako.
huyu mtoa mada hana jipya,ni nasma hamis kidogo.
sasa mbona wewe mwenyewe unaimba taarabu?
hili jamvi baba. ukishindwa una-log out.
hasira hom kwako
Nahisi utakuwa shoga,tukutane travertine magomeni pale week end,ntakuwa niko counter nina mzuzu mrefu sana ukiniona utanitambua tu ntakusolvia matatizo yako.
Kijana yeyote mwenye akili timamu hawezi kuhama CHADEMA na kujiunga na Chama Cha Mafisadi. Ila kama amekimbilia kutafunwa sawa maana "UKITAKA KULA LAZIMA ULIWE KIDOGO" Lakini sina maana hiyoooooooooo:nono:
Mwenzie vicky kamata ndo ivyo keshapata viti maalum.... nak - aya itabidi avute subira kidogo,, aonyeshe jitihada halafu baadaye atapata kazawadi...... Kaaaaz kwelkwel!!!! sijui nilie :A S cry: au nicheke:evil:
Au wana JF, hasa Malaria Sugu, munaonaje?
Maana hawa vijana wamefulia kwa kukikana chama makini Chadema
Inabidi ALIWE(na JK au Makamba) ili naye ALE(Apate Ubunge bado kuna 10 wa Rais)
Hivyo 10 vya rais navisikilizia akikosa nitajua hajitumi kazini!!!!!! Mak - amba anapenda sana mchezo huo!!! Ila yale makunyanzi sipati picha...:bowl::bowl::bowl: shughuli ipo!!!!!!!!
mwnamke mzuri km huyu ilikuwaje aende chama cha ajabu hivyo, ili awe angalau mbunge wa kuchaguliwa alzima avae hijabu sasa sijui ataweza vp na ubongo wake wa fleva...
Au wana JF, hasa Malaria Sugu, munaonaje?
Maana hawa vijana wamefulia kwa kukikana chama makini Chadema