Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

umeongea kwa hisia sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mie nawatakaa wapoleeee, nikiwa na mwanaume aliyechangamka ntaona wote tuko sawa tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie nataka ucharuko niwe nao mie tyuuh.
Mpele asiye na maneno mengi humu ni smart9...
 
Sio kweli wewe, simaanishi mapepe mbuzi ya akina mwajuma ndala chafu..ni mcheshi plus kichwani yuko njema
Okay,,,wa hivyo ni mtundu ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
 
Hamna huyu cocastic ni miyeyusho tuu sasa hebu kwa ustarabu nilionao kweli nawezaje tembea na mwanume mwenzangu as my love! Hata sio sawa....

I say and I meant that
Sio kutembea nae, kwani huwa tunazurura mtaani? Sema huwa unanizagamuaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan unaogopa nn baba tamu??

Kuwa free mie ni wakoooo 4reverrrrrr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ