Tuwaheshimu na kuwatunza Wanyama

Tuwaheshimu na kuwatunza Wanyama

A man with one idea

Senior Member
Joined
Jul 18, 2022
Posts
126
Reaction score
268
Ndugu zangu ,tuwapende na kuwalinda wanyama wote.
FB_IMG_1659095013134.jpg
 
Wale wa kuliwa basi fanyeni hivo .ila kuwaumiza wanyama kama hawajadhuru si jambo jema mfano huyo nyani hapo juu ameumizwa ili hali ana familia.
Huyo kajeruhiwa na wanaotaka kumla, naye kuna wanayama anawala….. wewe ni kitoweo safi kwa simba.
 
Usisahau na ndege pia wana haki ya kuishi, siyo wanapigwa tu mawe kisha kugeuzwa vitoweo hata kama walikuwa ktk harakati za kuwatafutia vikinda vyakula.
 
Back
Top Bottom