abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Huko Uz kazi zipo za kumwaga chamsingi kwanza tafuta passport baada ya hapo anza kufukuzia michongo ipo ya kutosha. Kiufupi hapa bongo tunapoteza uwezo wetu, unadumaa tu. Kuendelea kubishana vitu vidogodogo
ππππππππlabda land and water pollution (mining and plastics?)Yaani Tz sisi tunavuna miti tu kwa wingi kwajili ya mkaa na mbao lakini katika viwanda ni aibu kusema tunachafua mazingira
Hakuna chabure ndugu gas ipo kwenye ardhi yetu ndani ya nchi yetu lakini nasisi niwateja kama wateja wenginetu tunanunua full stop.πππππππhiyo ya kwenye bomba bado ni ya kwetu tu.
Sasa unafeli wapi kuingia hizo nchi mkuu.Passport ninayo meneja tena hii ya sasa
Sasa unafeli wapi kuingia hizo nchi mkuu.
Hata gesi yenyewe walishauza,Ccm hawawezi kutaka kiwanda hicho wakale wapi?
Kingine ni kwamba hiyo nchi wako vizuri sana kitaalamu na kiviwanda, hapo ujue kila kitu wanafanya wenyewe using their own technologies. Sisi mpaka sasa gesi tuu ya kupikia LNG tunaagiza hatuna hata kiwanda kimoja.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Basi tutumie makaa ya mawe ambayo ni yetu bila chenga, tuachane na gesi ambayo tunaambiwa si yetu! Lakini techno-economic na environment impact assessments zifanyike kwanza kwenye project hii pia.mbona ni rahisi tu.
Nikusahihishe ni LPG sio LNGKingine ni kwamba hiyo nchi wako vizuri sana kitaalamu na kiviwanda, hapo ujue kila kitu wanafanya wenyewe using their own technologies. Sisi mpaka sasa gesi tuu ya kupikia LNG tunaagiza hatuna hata kiwanda kimoja.
Wazushi wanasema Iliuzwa yote awamu ya nneTz tuna gas? Hebu tuwe serious! Ile ishauzwa kitambo! Sie tuna eneo lenye gas sio gas!
Hapo tunachokifanya ni kuunganisha nguvu sisi wenyewe au tunaweza kuita wawekezaji tu,Kwa teknolojia ipi?
Umeme hakunaNchi ya Uzberkistan inaanza kuibadili Gesi Asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na Gesi ya LPG ya kupikia.
Nchi ya Uzberkistan ina mpango wa kuanza uzalishaji katika kiwanda chake za kwanza cha kubadili Gesi asilia kuwa mafuta ya magari na ndege (GTL).
Kiwanda hicho chenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 3.6 ambacho kipo katika wilaya ya Guzar katika mkoa wa Kashkadarya kitasaidia nchi hiyo kupunguza utegemezi wa mafuta yanayoagizwa kutoka mataifa ya nje.
Kiwanda hicho kinamilikiwa na kampuni ya serikali ya mafuta na gesi Uzbekneftegaz kwa kushirikiana na Sasol ya Afrika Kusini.
Kiwanda hicho kitakua kina chakata gesi asilia ili kuzalisha mafuta safi ya magari na ndege. Kuanza kwa hicho kiwanda kutaipunguzia Uzberkistan kuagiza dizeli na mafuta ya ndege (Jet fuel) kutoka mataifa ya nje.
Kiwanda kinauwezo wa kuchakata kyubiki mita bilioni 3.6 za gesi asilia kila mwaka. Kitakua kinazalisha tani milioni 1.5 za mafuta ya magari na ndege yenye ubora.
Kitakuwa na uwezo wa kuzalisha tani laki tatu na elfu saba za mafuta ya taa (307,000t of kerosene), tani laki saba elfu ishirini na nne za dizeli (724,000t of diesel), tani laki nne elfu thelathini na saba za naphtha (437,000t of naphtha), na tani elfu hamsini na tatu za LPG (inayofanana na gesi za akina Oryx, Mihani na Lake). Naphtha itatumika kuzalisha mafuta ya petroli yenye ubora wa hali ya juu.
Bidhaa hizo za mafuta zitasambazwa nchini ili kufikia mahitaji ya ndani and pia zitasafirishwa kwenye mataifa ya nje.
Kiwanda hiki cha kubadili gesi asilia kuwa mafuta kina key production facilities nne ambazo ni:
1.Utilities supply plant,
2.Synthesis gas production plant,
3.Synthesis liquid production plant, and
4.Product work-up plant.
View attachment 1850375
Process nzima inaitwa GAS TO LIQUIDS (GTL). Unaweza kuiangali kwenye hizi video hapa chini kisha ukatoa maoni yako.
πππππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯Hatuna gesi hata tone mama, gesi ni ya beberu......bora wamakonde wangekomaa gesi isitoke.
πππππya watanzaniaGesi yenu wewe na nani!!!???