Tuwajue na kuwatambua wanaotaka kulihujumu Taifa kwa kukwamisha zoezi muhimu la sensa

Tuwajue na kuwatambua wanaotaka kulihujumu Taifa kwa kukwamisha zoezi muhimu la sensa

Areus

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
337
Reaction score
417
Hakuna asiyejua umuhimu wa sensa kwa maendeleo ya Taifa letu. Serikali imetenga fedha nyingi sana kwa ajili ya sensa kutokana na umuhimu wake katika nchi yetu

Lkn kuna watu wanaikwamisha serikali katika kutimiza adhima hii muhimu. Leo nikiwa kijijini nilikoenda kupumzika katika likizo yangu ya mwaka, siku muhimu ya sensa nimesikitika kuona makara hawana sare zinazowatambulisha km ni makarani wa sensa, wamevaa kiraia hali maeneo mengine nchini maafsa hao wakiwa na sare.

Jambo hili linahitaji majibu km sare ziligawiwa tu baadhi ya maeneo mikoa na halmashauri na maeneo mengine hawakupewa. Lkn imani yangu serikali iliandaa utaratibu mzuri wa sare kwa maafisa wote wa sensa nchini ila tatizo lipo chini huku ngazi ya halmashauri.

Naomba mwenyekiti wa Sensa Taifa mheshimiwa waziri mkuu lifuatilie hilo km itakupendeza tuwajue wanaohujumu mchakato huu.

Mzalendo wa kusini
 
Ulie ondoka kwako na kwenda kijijini ndie unae kwamisha sensa, kwasababu hujahesabiwa mjini kwako. Wavae sare kwani security guard wa bank hao
 
Kwa Phd yangu ya kichumi, serikali ililipa tozo wakati wa kutuma hiyo pesa ya budget ya sensa, na ikachukua tozo wakati wanatoa hiyo pesa iliyotumwa. Hapo hamna ela iliyobaki ya kufanyia kitu.
 
Karani wa sensa sehemu kama Jiji la Mwanza unaoompa nauli ya sh. 5000 (elfu Tano) kwa siku yaani kutoka kwake na kurudi pamoja na kuzungukia kaya 15 kwa siku kwa pesa hiyo unategemea kazi ifanyike kweli? (Ushaidi ninao)

Aliyeharibu sensa ni serikali yenyewe upigaji kuanzia Kwa Anne Makinda mwenyewe hadi huku chini kabisa mashinani!
 
Hv kweli mtu unaacha kufanya kazi/biashara yako ety kisa sensa.! Hapana aisee labla kama umeamua kupumzika siku hiyo.
 
Back
Top Bottom