jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Habari kwenu Washirika JF
Leo emutaja mwalimu aliekuwa kiboko kwa matusi shuleni kwako.
unaeza taja wa level yeyote ile.
mimi namkumbuka mwalimu wangu wa hisabati shule ya msingi alikua anaitwa ndele ,alikua na matusi hatari neno k...*...m...* kwake ni kama kiunganishi "na"
Leo emutaja mwalimu aliekuwa kiboko kwa matusi shuleni kwako.
unaeza taja wa level yeyote ile.
mimi namkumbuka mwalimu wangu wa hisabati shule ya msingi alikua anaitwa ndele ,alikua na matusi hatari neno k...*...m...* kwake ni kama kiunganishi "na"