Tuwalinde Walemavu dhidi ya #COVID19 kwa kuweka mazingira rafiki ya Vitakasa Mikono

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Tangu kutokea kwa ugojwa wa #COVID19 unaosababishwa na Virusi vya Corona watu na taasisi nyingi zimehamasika kuweka Vitakasa Mikono katika malango ya kuingia katika nyumba au ofisi za taasisi husika

Hata hivyo kundi la Watu wenye ulemavu wamekuwa wakishindwa kufikia huduma hiyo kutokana na kufungwa au kuwekwa sehemu ambayo si rahisi wao kufikia

Jamii Forums inakukumbusha kulizingatia kundi hili (watu wenye ulemavu) ili na wao waweza kijilinda dhidi ya #CoronaVirus pindi wanapoingia au kutoka katika taasisi au nyumba
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…