Siku zote tumesimama kwa ajili ya mama TanzaniaHahaha hata nyie mmeanza kuwaogopa COVID-19?!
Nasikia rais hana imani na ccm tena anasubiri COVID-19 aangalie vichwa.
Baraza la mawaziri kwa sasa lina watu watatu tu ndio hana wasiwasi nao.
Hahaha ccm wapo kwa maslahi yao binafsi, ccm gani anajali maslahi ya taifa?!Siku zote tumesimama kwa ajili ya mama Tanzania
washaanza kupiga mapicha majimboni huko wameshika viuno eti wako busy kusimamia maendeleo
nahisi strategy yao itafanya kazi sbabu toka 2015 hayo ndo mambo yanayohitajika hujaona hata zenji mr mwinyi alifanya ziara za kustukiza kukiwa na kamera za kutosha ,yaani yule dc wa Iringa anavyojua kucheza na kamera au mzee wa toronto wasipokula uwaziri babada ya kuteuliwa viti maalumu vya manjemba nitashangaa sana aisee maana ni mabingwa wa kameraUpuuzi mtupu, full makamera ili kumfurahisha mkubwa!
Tunapoenda kuunda Timu ya Serikali yenye muelekeo wa uhuru kamili na kujitegemea tunatakiwa kuwaogopa sana wabunge wasanii wenye mbinu za kujipitisha,kujionesha na kufanya vibweka ili waonekane.
Wito ni kwa all government organs and machineries kuhakikisha anayepenya kwenye uwaziri au unaibu waziri n.k ni muadilifu haswa na mwenye mrengo wa kuongoza taifa katika kujitegemea na sio kutegemea wahisani waliokuja kuchuma fedha.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA