Millitarydoctor
Senior Member
- Sep 20, 2019
- 174
- 127
Alisikika mama la mama kutoka Kenya😂😂Mizoga ya midanganyika yamejaa mahospitali na mwendawazimu wao mawe Bado anasema wajifukize....I say..This poverty stricken dark Nation called Danganyika is under threat of real Death
Sana,,nasikia saitoti kafa na corona,,
Rais wenyu hajali maisha ya wananchi wake anajali tu uchumi heri maelfu wafariki lakini uchumi ukue...mibongolala mliovyo thick kichwani ni kushangilia tu wacha tuone kama mtaendelea kusifia if the virus hits close to you.......mnafuata model ya sweden ila kule hali si hali tena na uchumi wao utakua tu affected just like the rest of europecorona ni ugonjwa ila bahati mbaya umepewa chart kubwa kimakosa.
landa ndio lilikuwa lengo,hatujui,but rais wetu ana maono ya mbali sana,huyo Mungu anayemuomba ni Mungu wa kweli aisee.
Yah zidi kuskiaSana,,nasikia saitoti kafa na corona,,
Wabunge 20 na mawaziti 8
Angalia wenyu akijali wananchi wake!Rais wenyu hajali maisha ya wananchi wake anajali tu uchumi heri maelfu wafariki lakini uchumi ukue...mibongolala mliovyo thick kichwani ni kushangilia tu wacha tuone kama mtaendelea kusifia if the virus hits close to you.......mnafuata model ya sweden ila kule hali si hali tena na uchumi wao utakua tu affected just like the rest of europe
Sweden had no lockdown but its economy is expected to suffer just as badly as its European neighbors
Sent using Jamii Forums mobile app
Poverty stricken? Hivi kule kibera siku hizi kukoje? Sijafika Nairobi siku nyingiMizoga ya midanganyika yamejaa mahospitali na mwendawazimu wao mawe Bado anasema wajifukize....I say..This poverty stricken dark Nation called Danganyika is under threat of real Death
wewe unasema nini???Rais wenyu hajali maisha ya wananchi wake anajali tu uchumi heri maelfu wafariki lakini uchumi ukue...mibongolala mliovyo thick kichwani ni kushangilia tu wacha tuone kama mtaendelea kusifia if the virus hits close to you.......mnafuata model ya sweden ila kule hali si hali tena na uchumi wao utakua tu affected just like the rest of europe
Sweden had no lockdown but its economy is expected to suffer just as badly as its European neighbors
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe mwerevu juu mmeacha kupima inamaanisha corona imeisha Tanzania? unajuaje waliofariki kama serikali imesusia kutoa data?wewe unasema nini???
maelfu wepi wanafariki??
mpaka leo asubuhi kenya maambukizi mapya ni 887.hujui unakata viuno tuu,hiyo lockdown imewasaidia nini!!!!
Nani kaacha kupima...Kupima tunapima na right away tutatoa takwimu...Deal na kwenu, huko ndio pamoto.Sasa wewe mwerevu juu mmeacha kupima inamaanisha corona imeisha Tanzania??unajuaje waliofariki kama serikali imesusia kutoa data??ile historia ya kinjekitile ngware inasum up akili zenyu zilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
unajuaje waliofariki? hizo ni ramli za kiganga unapiga.Sasa wewe mwerevu juu mmeacha kupima inamaanisha corona imeisha Tanzania??unajuaje waliofariki kama serikali imesusia kutoa data??ile historia ya kinjekitile ngware inasum up akili zenyu zilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app