African businesses
Member
- Feb 13, 2024
- 80
- 204
Kama Kuna vijana wanapitia hali ngumu ya kimaisha basi ni pamoja na vijana wa kitanzania.
Just imagine kijana hanakwambia hana mpango wa kuoa kama ni upwiru atachukua buku Tano anakwenda kumalizia kwa dada poa na maisha yanaendelea.
Vijana wengi wa kitanzania hawana vyanzo vya kimapato zaidi ya kutegemea michezo ya kubahatisha daily vijana mifukoni wamejaza mikeka wanatembea na ndoto ya kumiliki mamilioni kwa kubahatisha.
Matajiri wa nchi hii wamewageuza vijana wengi kama mitaji yao badala ya kuwasaidia wao wamewageuza mateja wa vinywaji vichafu, vijana wengi ni mateja wa pombe chafu visungura, double kick, k vant na energy drink.
Tunaitaji maombi ya kitaifa ili kuwanusuru vijana wetu.
Just imagine kijana hanakwambia hana mpango wa kuoa kama ni upwiru atachukua buku Tano anakwenda kumalizia kwa dada poa na maisha yanaendelea.
Vijana wengi wa kitanzania hawana vyanzo vya kimapato zaidi ya kutegemea michezo ya kubahatisha daily vijana mifukoni wamejaza mikeka wanatembea na ndoto ya kumiliki mamilioni kwa kubahatisha.
Matajiri wa nchi hii wamewageuza vijana wengi kama mitaji yao badala ya kuwasaidia wao wamewageuza mateja wa vinywaji vichafu, vijana wengi ni mateja wa pombe chafu visungura, double kick, k vant na energy drink.
Tunaitaji maombi ya kitaifa ili kuwanusuru vijana wetu.