eddy edo
Member
- May 11, 2015
- 44
- 10
Jamani naomba wanajamvi mwenye uwezo wa kufikisha hili maala uika alifikishe maana hali ni mbaya sana vyuoni watu wanalala bila kula na wengine mlo mmoja kisa pesa hakuna.
Na hii imepelekea badhi ya wadada vyuoni kujuliuza katika mabaa na mahotel ili kupata walau mlo mmoja kwa siku
Kinachonisikitisha ni kuona Swala hili serikali halilitolei majibu au ufafanuzi ni kwanini wanafunzi hawajapata pesa adi sasa
VIONGOZI WETU TUJALIBU KUWA NA HURUMA
Na hii imepelekea badhi ya wadada vyuoni kujuliuza katika mabaa na mahotel ili kupata walau mlo mmoja kwa siku
Kinachonisikitisha ni kuona Swala hili serikali halilitolei majibu au ufafanuzi ni kwanini wanafunzi hawajapata pesa adi sasa
VIONGOZI WETU TUJALIBU KUWA NA HURUMA