Tuwaongeze mishahara hawa dada wa nyumbani

Tuwaongeze mishahara hawa dada wa nyumbani

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kutokaana na mabadiliko ya dunia yanayoendelea na janga la homa kalini wakati muafaka wanandoa mnapochagua dada wakazi awe sio tu kazi za nyumbani awe msaidiizi pia wa mama wa nyumban pale anapokuwa hayupo.

Hizi taarifa za kutokaa mikusanyiko kama bar nk zimenifanya nikachukue ka model rombo kumsaidia mama pdidy.

Ikumbukwe bar sio tu kunywa na kuondoka wapo walinzi wa ndoa zetu wakikuona hata kama sio don wataita don didy mambo karibu. Mezani wana soda jichanganye uone.

Muda muafaka kuongeza mshahara kwa madada wanyumban wapendwa wala sio ombi utashi wako na jinsi atakavyokuokoa na mambo ya kushinda bar vs homakl nk.

Nawatakia mfungo mwema wote pale sinza mapambano nk
 
Pdidy wale vibaka wa Kawe walivamiaga maduka wakat wa mazishi ya mwenzao?
 
Back
Top Bottom