Carlos Henrique Casimiro - Real Madrid,Leo tuwataje wachezaji wanaocheza kibabe, wanaocheza rafu na wenye urafiki wa karibu na kadi za njano na nyekundu wawapo dimbani.
Mimi naanza na Sergio Ramos.
Waqt kahamia simba mechi na al hilal ya sudan waarabu wanamfuata muamuzi na kulalama muamuzi haoni kitu mipira ya juu kumbe said anacheza kote watu wanaangalia mpira wa juu huku chini mwarabu anakula nge ya nguvu mwisho muamuzi bila ushahidi akamuita said wa kazungumza hali ikawa shwari.Pande la mtu sana, alijua sana mpira vilevile alijua sana ubabe. Nani angethubutu kugombania mpira wa juu sambamba na Kizota? Lazima ule kiwiko, ukifika chini damu zinavuja.
Kumbukumbu muruaWaqt kahamia simba mechi na al hilal ya sudan waarabu wanamfuata muamuzi na kulalama muamuzi haoni kitu mipira ya juu kumbe said anacheza kote watu wanaangalia mpira wa juu huku chini mwarabu anakula nge ya nguvu mwisho muamuzi bila ushahidi akamuita said wa kazungumza hali ikawa shwari.
Daah mkuu hyo picha yamwisho ndo nadhan iliharibu career ya hatem Ben arfa... Au??