Tuwataje wasanii punda:

Microsoft

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
623
Reaction score
366
Sio punda wale wanaobeba mizigo ya kawaida???LA hasha,wanabeba mizigo kwa matumbo yao..tena wanapanda mpaka ndege hao punda,wapo na naamini watu wanawajua...mmoja huyu






 
Mkuu kuna mambo mengi ya kujadili, mambo ya punda wewe yanakuhusu nini au haujipendi? kama unajipenda achana na haya mambo utapata shidq
 
Punda wa kwanza ni yule Resty wa CCM alomwagwa udiwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…