D Metakelfin JF-Expert Member Joined Mar 23, 2017 Posts 3,399 Reaction score 3,666 May 24, 2017 #1 jamani mficha maradhi kifo humuumbua kwa heshima na taadhima naomba tuwataje ndugu zetu wenye vyeti feki na wametumbuliwa hivyo hawana kazi za kufanya zaidi ya kushinda wakirukaruka humu ndani ya majukwaa. naanza na Hawa Joseverest @ukuthy
jamani mficha maradhi kifo humuumbua kwa heshima na taadhima naomba tuwataje ndugu zetu wenye vyeti feki na wametumbuliwa hivyo hawana kazi za kufanya zaidi ya kushinda wakirukaruka humu ndani ya majukwaa. naanza na Hawa Joseverest @ukuthy
DiasporaUSA JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 23,382 Reaction score 29,639 May 24, 2017 #2 Cephalocaudo
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 May 24, 2017 #3 Sawa mkuu hakuna tabu
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 22,527 Reaction score 79,976 May 24, 2017 #4 K NI K pia alitumbuliwa manake anakosa kazi hadi kaanza kufuatilia ID za watu asiowafahamu humu