jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Toka mwaka 2011 tunahangaika sana na suala la nishati ,hivi ni wafanyabiashara gani wenye kuhodhi biashara hii Tanzania?
Kama unawafahamu wataje humu jamvini.
Rais Kikwete aliwahi kunukuliwa kuwa hawa jamaa huwa hawagusiki ukiwagusa tu unapata shida.
Kama unawafahamu wataje humu jamvini.
Rais Kikwete aliwahi kunukuliwa kuwa hawa jamaa huwa hawagusiki ukiwagusa tu unapata shida.