Mjinga ni wewe unayedhani Oilcom baba zako na kwayo watakuonea huruma kuliko wao kutaka faida maradufuMatatizo yenu hayasababishwi na wafanyabiashara wakubwa, acha chuki na ujinga
Kikwete si mtu wa kumsikiliza hata siku moja, yeye mwenyewe hajielewi.Toka mwaka 2011 tunahangaika sana na suala la nishati ,hivi ni wafanyabiashara gani wenye kuhodhi biashara hii Tanzania?Kama unawafahamu wataje humu jamvini.
Rais Kikwete aliwahi kunukuliwa kuwa hawa jamaa huwa hawagusiki ukiwagusa tu unapata shida.
Ni mpumbavu pekee na mwenye roho mbaya ya kishetani atawalaumu wafanyabiashara kwa lolote badala ya kulaumu mamlaka husika za kuwadhibiti (hasa serikali).Mjinga ni wewe unayedhani Oilcom baba zako na kwayo watakuonea huruma kuliko wao kutaka faida maradufu
LOooh, hili jibu limenitoa jasho mkuu 'residentura'.Ni mpumbavu pekee na mwenye roho mbaya ya kishetani atawalaumu wafanyabiashara kwa lolote badala ya kulaumu mamlaka husika za kuwadhibiti (hasa serikali)...
Ndio maana nikaandika kuwa serikali na vyombo vyake vinatakiwa kuwa makini.LOooh, hili jibu limenitoa jasho mkuu 'residentura'.
Umesema vyema kwa upande mmoja, lakini nadhani unasahau pia kwamba kati yenu (wafanyabiashara) kuna mapapa yasiyo amini kama unavyoamini kama wewe. Wao kazi kubwa ni kushindana na serikali kwa njia yoyote ile, ikiwemo kuwatumia waliomo serikalini kwa manufaa yao, bila kujali manufaa ya nchi.
Mjinga ni wewe unayedhani Oilcom baba zako na kwayo watakuonea huruma kuliko wao kutaka faida maradufu
Ww ndio hujielewi former presidaa yuko vizuri sana na ni fahari yetu sisi wa tzKikwete si mtu wa kumsikiliza hata siku moja, yeye mwenyewe hajielewi.
Pole kwa kufikiria hivyo, ulikuwa umelala wapi?Ww ndio hujielewi former presidaa yuko vizuri sana na ni fahari yetu sisi wa tz