Tuwe makini- mafataki ( pedofiles) wengi tunao majumbani mwetu.


Nakushukuru kwa post yako kwani imenifungua macho na kuamini hivi vitu vipo na vina madhara makubwa kwa watoto wetu Mungu akubariki kwani najua hii post itaokoa watoto wengi na wazazi kuchukua tahadhari
 
Last edited by a moderator:
asante kwa ujumbe.
Unachosema ni kweli kbs!
Ndugu tunaowaamini ndio wanaotuharibi.
Maadili hakuna kabisa
 

Hilo nalo ni suala la kujipanga kabla ya kufanya maamuzi ya kuwa na familia
 
cheusie are you.......pregnant..............................??

kama ndivyo basi imekula kwangu......................!mizawadi yote ile niliyokupa xmas hlf jamaa wameshajaza upepe.....................????
cheusie what do u mean by `Nikiwa kama mzazi mtarajiwa`.....................................???? u must be kiding..............................!............................lol...............................!

back to the topic................................asante kwa kuongelea hili jambo.....................ukifikiria kwa makini...................hatari nyingi zipo majumbani mwetu..........................hawa hawa tunaowapa ugali wa bure....................ndio hawa hawa wanageuka sumu kwetu..............................take care murembo.....................!kuna mdingi fulani.........................yeye ndiye aliyewafataki watoto wake wa kiume...............ishu ilibumburuka baada ya watoto kuanza kuoneana wivu kumshare baba..............................yaani kila mmoja alikua anataka baba awaache wengi abaki naye peke yake..........................sasa hapa napo mtu unalindaje wakuu..............................................???
 


Haya mambo hutokea sana na ni rahisi kuyajua kutoka kwa ndugu, majirani au kama unafanya kazi polisi, ni daktari au unafanya mashirika ya kutetea haki za binadamu au watoto.
Binafsi nilifanya utafiti unaohusu mambo ya Child Abuse. Nilienda mpaka vituo vya Polisi kupitia reported cases, pia nilienda hospitali kuwaona ambao wamebakwa/wamelawitiwa na wanapata matibabu. Pia nilipitia tafiti mbalimbali zilizoandika juu ya Child Sex Abuse.

Utafiti mmoja ambao ni thesis ulihoji watoto waliokuwa sexually abused na kufuatilia ni kina nani walikua first abusers. Utafiti huo wa kama miaka nane iliyopita ulionyesha kuwa asilimia 70 ya watoto wamebakwa au kulawitiwa na baba mdogo, uncle, babu,houseboy au watoto kwa watoto wenyewe. Baadhi ya respondents walikua gays tayari.

Niliapa sitaki ndugu kwangu. Kila la kheri wanaopenda kukusanya utitiri wa ndugu wasio na sababu majumbani kwao. Same is for housegirls.

Wazazi ni kutafuta hela na kujirusha. Watoto wanaonana jmosi asubuhi halafu wanaishia. Anyway, kila mtu na maisha yake lakini tusilalamike watoto wameharibika na mabwabwa wamezidi, au watoto hawashikiki.
 

mjasiria,mm naishi maeneo ya kaiwada tena yenye utulivu,sema tu sijui niseme ni bahat nzur au mbaya lkn Mungu amenipa nafasi yakuweza kushuhudia haya mbaya.Nataman kukushawishi usipuuzie ujumbe wangu sbb ni rahisi kudhani how come lkn haya mambo yapo,tena kwa kiwango kikubwa,yanaweza kutokea ktk familia yeyote ile iwe iko mbezi beach au uwanja wa fisi tandika.Hata wazazi waliopatwa na haya ninayoeleza walipata shida kualewa na kuamini kuwa haya yalitokea ndani ya nyumba zao bila wao kuhisi kama kuna kinachoendelea.
 
Nakushukuru kwa post yako kwani imenifungua macho na kuamini hivi vitu vipo na vina madhara makubwa kwa watoto wetu Mungu akubariki kwani najua hii post itaokoa watoto wengi na wazazi kuchukua tahadhari

asante kwa kushukuru,nafuraahi post yangu imekufungua macho,sbb haya mambo yapo hivyo kuchukua tahadhari ni lazima,Nawe pia ubarikiwe.
 
asante kwa ujumbe.
Unachosema ni kweli kbs!
Ndugu tunaowaamini ndio wanaotuharibi.
Maadili hakuna kabisa

kuna ule msemo kuwa adui wa kwanza ni yule wa nyumbani kwako,kwa sbb tunawapenda ndugu zetu,hata kama kuna dalili za uharibifu unaoendelea nyumban huwa hatuzion sbb upendo wetu kwao unatufanya tupuuzie hata pale dalili zinapokua za wazi wazi kabisa sbb mtoto anayefanyiwa hivi vitu hawezi kubehave normaly,anabadilika,mzazi akiwa makini ndio anaweza kuona kuwa mtoto hayuko sawa.
 

leo niko kimama zaidi sitaki masihara.Hiyo ya wababa dizaini hiyo nayo ipo sana,hata wababa kwa mabinti zao pia ipo,ila huyu shetan akishamwingia baba mama hutaweza kulinda,maana baba ni mlinzi mwenzake na mama lkn akigeuka kuwa zimwi mama huna jinsi labda kama watoto wawe na uwezo wa kukataa na kumweleza mama.Ila kuna mahala nimesema hata tuwalinde vipi watoto wetu kama familia haina ulinzi wa Mungu yote ni kazi bure.Mungu ndiye anayeweza kuipesha vitu kama hivi vya baba kwa mwanae.God forbid.
 

nashukuru kwa ulichoandika maana watu wengi tukiongea kama hivi itasaidia wale wanaodhani nyumaban kuko salama wapadili jinsi ya kufikiri.Nashukuru unanielewa ninachoongea sababu ni rahisi mtu ambaye hajashuhudia haya kudhani labda mim ni mwehu.Haya mambo ni ya kawaida sana ila si rahisi mtu kuamin kuwa inawezekana hadi limfike.Pia mara nyingi,hizi kesi hata maredion na magazetini sio mara kwa mara kuzisikia sbb unakuta aliyefanya kitendo ni ndoo basi,na wazazi kuficha aibu wanayamaliza kindugu,yanaisha kimya kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…