Tuwe Makini na Hila za Mabeberu, tusije ingia Kingi

Tuwe Makini na Hila za Mabeberu, tusije ingia Kingi

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
TUWE MAKINI NA HILA ZA MABEBERU, TUSIJEINGIA KINGI

Na, Robert Heriel

Jana nimekumbuka habari za mabeberu na hila zao, nikashtuka sana, nilikaribia kuwa na hofu, Sikujua hofu ile ilisababishwa na nini. Lakini nikiri kusema, akili yangu inaniambia kuwa Mabeberu wapo inchaji mpaka sasa.

Kitabia Mabeberu hawapendi watu wanaogusa maslahi yao. Hiyo ndio tabia yao na wapo hivyo mara zote na kwa uzoefu wangu wa kufuatilia historia na vyombo vya habari vya kimataifa. Mabeberu wapo tayari kupambana na yeyote atakayegusa maslahi yao.

Kwa namna hiyo, sidhani kama Mabeberu wamekuwa na furaha chini ya Utawala wa Magufuli, sidhani kuwa wamefurahia jinsi Magufuli alivyowabana kwenye sekta ya Madini kuanzia kule kwenye Mikataba ya Makinikia, na jinsi biashara ya madini kwa sasa inavyofanyika. Mabeberu wameguswa na kawaida yao hawawezi kukaa kimya bila kujibu mapigo.

Nampongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kuweza kutetea rasilimali za nchi hii. Hilo lipo wazi, Magufuli amejitahidi na amekaribia kuweza kukabiliana na majizi wa Rasilimali ya nchi hii. Magufuli ninamsapoti kwenye hili, na mara zote ninasemaga hivyo, kwani ukweli ni ukweli siku zote.

Sasa Watanzania lazima tuelewe kuwa Mhe. Rais Magufuli alichokoza nyuki wabaya wasio na haya kutoka nchi za Barafu. Sifikirii kama wanamfurahia Mzee wetu huyu Magufuli. Huenda watamchekea tuu usoni, lakini kwa tabia za mabeberu ni watu wa hila, njama na kila aina ya uovu. Beberu ukimpiga, wanatabia ya kujifanya wanajichekesha kumbe wanakutafutia nafasi, wanatumia kanuni isemayo; " Pose as a Friend, Work as a Spy" kisha hutumia kanuni nyingine isemayo "Use the Surrender Tactic: Transform Weakness into Power"
Kanuni hizo wamezitumia na kuangusha waliowengi, Mathalaani Hayati Muammar Gadhafi ambaye Miaka ya themanini alikuwa moto, baadaye mabeberu wakaona watumie mbinu ya "kujifanya marafiki kumbe wanampeleleza"

Gadhafi aliwakaba kooni sana mabeberu kwenye ishu ya Nishati ya mafuta, aliwasumbua vile atakavyo. Beberu kuona Gadafi anamsimamo; ndio akatumia mbinu ya 'Kujifanya amesalimu amri, na kuugeuza udhaifu mpaka kuwa mamlakani"

Unapopambana na Mabeberu usije ukadhani ugomvi wao unaisha, ukiamua uwe umeamua kweli. Kwani ukidhani umewashinda kumbe wenzako wanatafuta ukaribu na wewe ili wakujue zaidi au wanatafuta mbinu zingine ambazo nitazieleza hapo chini.

Mhe. Rais Magufuli, lazima ajue kuwa hawa watu mapambano yao hayaishi, unapoingia field na hawa watu uwe umejitoa kikamilifu. Nafikiri Magufuli anajua jambo hili, na waliokaribu yake wanalijua hili.

Mataifa ya Iran, Korea Kaskazini,, China na Urusi yameamua moja kwa moja, na bila shaka yanamuelewa adui yao hulka yake ilivyo. Hii ndio inawasaidia. Tofauti na hapo nao wangetetereshwa mapema sana.

Mabeberu pia hupenda kutukuzwa, kusifiwa, na kuabudiwa. Mataifa yanayoyatukuza mabeberu hupewa sapoti kwa kiasi kikubwa na mabeberu licha ya kuwa rasilimali zao zinachukuliwa zaidi na hao mabeberu.

Mataifa yasiyoyaabudu, kusifia, na kutukuza mabeberu huonja joto ya jiwe. Mataifa yote yanayotukana mabeberu huingia kwenye migogoro mikubwa na mabeberu.

Tulimuona Sadamu Hussein wa Iraq alivyokuwa akiwatukana mabeberu, tulimuona, Gadafi, Tulimuona Solomon wa Iran, Tunaona Kwa Bashad Alasady wa Syria, tuliona kwa Robert Mugabe, huko kote Mabeberu wameonyesha vurugu zao kwa njia nyingi.

Mabeberu wametumia mbinu za kuangusha uchumi kwa nchi hizo, wametumia njia ya vikwazo vya kiuchumi, wametumia njia ya propaganda kwa kuwapa majina yasiyofaa viongozi wote wasiowaabudu. Wameanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi hizo kwa kutumia vikundi vya kidini, kisiasa, au hata maandamano ya haki za binadamu.

Mhe. Rais Magufuli ni moja ya viongozi wa sasa barani Afrika ambaye amekuwa mstari wa mbele kuwa jasiri kuwasema na kuwatukana mabeberu. Usidhani mabeberu hawamsikii, usidhani mabeberu ni watu wakuchekea watu dizaini ya Magufuli. Mabeberu hawajawahi kuwa na huruma na ushahidi huo upo.

Inafahamika kuwa Hakuna serikali yoyote duniani inayofanya mambo yake kwa asilimia mia moja 100%. Ni lazima yawepo mapungufu tuu. Na kupitia mapungufu hayo ndio Mabeberu huyatumia kama mwanya wa kuleta vuruga zao.

Kikawaida demokrasia ni moja ya dhana za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia chama tawala basi watatumia chama cha upinzani.

Kikawaida Diini ni moja ya nyenzo za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia Ukristo basi watatumia uislamu

Mambo hayo mawili ndio fimbo muhimu za kuzichapa nchi masikini hasa kwa bara la Afrika.

Ni kawaida kwa Mabeberu kuwatumia wapigania haki kutimiza vurugu zao. Unajua wakati mwingine mtu anaweza kuwa mpigania haki lakini asiwe na akili za kutambua hila, njama na ulaghai wa mabeberu hivyo unaweza kukuta mpigania haki akawa anatumika pasipokujua anatumika. Yeye dhamira yake ni kutetea haki na kifanya jamii yake iwe jamii bora lakini kumbe wenzake yaani mabeberu wao wana-agenda nyingine ya siri.

Nawashauri wananchi, tuwe makini hasa kipindi hiki cha Uchaguzi. Watu pigeni kura kuchagua kiongozi mnayemtaka. Atakayepita hewala, atakayeshindwa basi asiumie ilimradi awe ameshindwa halali.

Pia naishauri serikali na vyombo vinavyohusika na Uchaguzi, NEC na ZEC pamoja na vyombo vya dola, tendeni haki, anayeshinda apewe ushindi asiyeshinda apewe pole tumalize uchaguzi maisha yaendelee.

Nafahamu kuwa mabeberu wanaweza kupenyeza watu wasiowaaminifu ili wasitoe haki kwa walioshinda, kisha mabeberu hao hao wakawatumia waliodhulumiwa haki zao kudai haki, mwishowe kukawa na vurugu.

Tusihujumiwe, mara nyingi vipindi hivi ndio huwa na mambo mengi.

Pia serikali itayoingia madarakani ihakikishe yale masuala ya msingi ikiwa ni pamoja na kutenda haki na uadilifu yanazingatiwa ili mabeberu wasijepata mwanya wa kujimwambafai.

Kuna kanuni inasema; "playing people against one another, making them pursue you".
Mabeberu ndio tabia zao, wanaweza kuchezesha watu akili, upande huu na upande huu ili kuchochea vurugu.

Hatutakuwa tayari kutumiwa na mabeberu kuuana wenyewe kwa wenyewe. Amani ilindwe kwa mgongo wa haki.

Ndugu zangu, nimalize kwa kusema usikubali mtu akakutumia kudhulumu haki za wengine, mtu huyo anakuhujumu ili kuhatarisha amani ya nchi hii. Pia usikubali mtu akuingize barabarani ikiwa unajua ameshindwa katika uchaguzi.

Piga Kura, Linda kura, usiibe kura. Usifanya vurugu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
kwa sasa Dodoma
 
Kweli unajua hawa mabeberu wanaweza kuwa wamemshauri jamaa akajenge kiwanja cha ndege chato bila kuangalia vipaumbele vyetu. Weshajua namna ya kumkamata kwa weakness zake. sasa tufanyeje, apumzike kwanza mpaka 2025 ccm wanaweza kutuletea tena tumpitishe atakuwa kajifunza kitu. Vinginevyo watamshauri tena ajenge uwanja mkubwa wa miguu kibarazani kwake chatu na vingie vingi, weshamkamata!
 
Naiogopa na siipendi sana mahakama ya ICC kwani ni mahakama inayotweza utu wa mtu inaaibisha ina usumbufu inakuondolea maana yote hata kama lengo lako lilikuwa ni jema na zuri kiasi gani
 
TUWE MAKINI NA HILA ZA MABEBERU, TUSIJEINGIA KINGI.

Na, Robert Heriel

Jana nimekumbuka habari za mabeberu na hila zao, nikashtuka sana, nilikaribia kuwa na hofu, Sikujua hofu ile ilisababishwa na nini. Lakini nikiri kusema, akili yangu inaniambia kuwa Mabeberu wapo inchaji mpaka sasa.

Kitabia Mabeberu hawapendi watu wanaogusa maslahi yao. Hiyo ndio tabia yao na wapo hivyo mara zote na kwa uzoefu wangu wa kufuatilia historia na vyombo vya habari vya kimataifa. Mabeberu wapo tayari kupambana na yeyote atakayegusa maslahi yao.

Kwa namna hiyo, sidhani kama Mabeberu wamekuwa na furaha chini ya Utawala wa Magufuli, sidhani kuwa wamefurahia jinsi Magufuli alivyowabana kwenye sekta ya Madini kuanzia kule kwenye Mikataba ya Makinikia, na jinsi biashara ya madini kwa sasa inavyofanyika. Mabeberu wameguswa na kawaida yao hawawezi kukaa kimya bila kujibu mapigo.

Nampongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kuweza kutetea rasilimali za nchi hii. Hilo lipo wazi, Magufuli amejitahidi na amekaribia kuweza kukabiliana na majizi wa Rasilimali ya nchi hii. Magufuli ninamsapoti kwenye hili, na mara zote ninasemaga hivyo, kwani ukweli ni ukweli siku zote.

Sasa Watanzania lazima tuelewe kuwa Mhe. Rais Magufuli alichokoza nyuki wabaya wasio na haya kutoka nchi za Barafu. Sifikirii kama wanamfurahia Mzee wetu huyu Magufuli. Huenda watamchekea tuu usoni, lakini kwa tabia za mabeberu ni watu wa hila, njama na kila aina ya uovu. Beberu ukimpiga, wanatabia ya kujifanya wanajichekesha kumbe wanakutafutia nafasi, wanatumia kanuni isemayo; " Pose as a Friend, Work as a Spy" kisha hutumia kanuni nyingine isemayo "Use the Surrender Tactic: Transform Weakness into Power"
Kanuni hizo wamezitumia na kuangusha waliowengi, Mathalaani Hayati Muammar Gadhafi ambaye Miaka ya themanini alikuwa moto, baadaye mabeberu wakaona watumie mbinu ya "kujifanya marafiki kumbe wanampeleleza"
Gadhafi aliwakaba kooni sana mabeberu kwenye ishu ya Nishati ya mafuta, aliwasumbua vile atakavyo. Beberu kuona Gadafi anamsimamo; ndio akatumia mbinu ya 'Kujifanya amesalimu amri, na kuugeuza udhaifu mpaka kuwa mamlakani"

Unapopambana na Mabeberu usije ukadhani ugomvi wao unaisha, ukiamua uwe umeamua kweli. Kwani ukidhani umewashinda kumbe wenzako wanatafuta ukaribu na wewe ili wakujue zaidi au wanatafuta mbinu zingine ambazo nitazieleza hapo chini.

Mhe. Rais Magufuli, lazima ajue kuwa hawa watu mapambano yao hayaishi, unapoingia field na hawa watu uwe umejitoa kikamilifu. Nafikiri Magufuli anajua jambo hili, na waliokaribu yake wanalijua hili.

Mataifa ya Iran, Korea Kaskazini,, China na Urusi yameamua moja kwa moja, na bila shaka yanamuelewa adui yao hulka yake ilivyo. Hii ndio inawasaidia. Tofauti na hapo nao wangetetereshwa mapema sana.

Mabeberu pia hupenda kutukuzwa, kusifiwa, na kuabudiwa. Mataifa yanayoyatukuza mabeberu hupewa sapoti kwa kiasi kikubwa na mabeberu licha ya kuwa rasilimali zao zinachukuliwa zaidi na hao mabeberu.

Mataifa yasiyoyaabudu, kusifia, na kutukuza mabeberu huonja joto ya jiwe. Mataifa yote yanayotukana mabeberu huingia kwenye migogoro mikubwa na mabeberu.

Tulimuona Sadamu Hussein wa Iraq alivyokuwa akiwatukana mabeberu, tulimuona, Gadafi, Tulimuona Solomon wa Iran, Tunaona Kwa Bashad Alasady wa Syria, tuliona kwa Robert Mugabe, huko kote Mabeberu wameonyesha vurugu zao kwa njia nyingi.

Mabeberu wametumia mbinu za kuangusha uchumi kwa nchi hizo, wametumia njia ya vikwazo vya kiuchumi, wametumia njia ya propaganda kwa kuwapa majina yasiyofaa viongozi wote wasiowaabudu. Wameanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi hizo kwa kutumia vikundi vya kidini, kisiasa, au hata maandamano ya haki za binadamu.

Mhe. Rais Magufuli ni moja ya viongozi wa sasa barani Afrika ambaye amekuwa mstari wa mbele kuwa jasiri kuwasema na kuwatukana mabeberu. Usidhani mabeberu hawamsikii, usidhani mabeberu ni watu wakuchekea watu dizaini ya Magufuli. Mabeberu hawajawahi kuwa na huruma na ushahidi huo upo.

Inafahamika kuwa Hakuna serikali yoyote duniani inayofanya mambo yake kwa asilimia mia moja 100%. Ni lazima yawepo mapungufu tuu. Na kupitia mapungufu hayo ndio Mabeberu huyatumia kama mwanya wa kuleta vuruga zao.

Kikawaida demokrasia ni moja ya dhana za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia chama tawala basi watatumia chama cha upinzani.

Kikawaida Diini ni moja ya nyenzo za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia Ukristo basi watatumia uislamu

Mambo hayo mawili ndio fimbo muhimu za kuzichapa nchi masikini hasa kwa bara la Afrika.

Ni kawaida kwa Mabeberu kuwatumia wapigania haki kutimiza vurugu zao. Unajua wakati mwingine mtu anaweza kuwa mpigania haki lakini asiwe na akili za kutambua hila, njama na ulaghai wa mabeberu hivyo unaweza kukuta mpigania haki akawa anatumika pasipokujua anatumika. Yeye dhamira yake ni kutetea haki na kifanya jamii yake iwe jamii bora lakini kumbe wenzake yaani mabeberu wao wana-agenda nyingine ya siri.

Nawashauri wananchi, tuwe makini hasa kipindi hiki cha Uchaguzi. Watu pigeni kura kuchagua kiongozi mnayemtaka. Atakayepita hewala, atakayeshindwa basi asiumie ilimradi awe ameshindwa halali.

Pia naishauri serikali na vyombo vinavyohusika na Uchaguzi, NEC na ZEC pamoja na vyombo vya dola, tendeni haki, anayeshinda apewe ushindi asiyeshinda apewe pole tumalize uchaguzi maisha yaendelee.

Nafahamu kuwa mabeberu wanaweza kupenyeza watu wasiowaaminifu ili wasitoe haki kwa walioshinda, kisha mabeberu hao hao wakawatumia waliodhulumiwa haki zao kudai haki, mwishowe kukawa na vurugu.

Tusihujumiwe, mara nyingi vipindi hivi ndio huwa na mambo mengi.

Pia serikali itayoingia madarakani ihakikishe yale masuala ya msingi ikiwa ni pamoja na kutenda haki na uadilifu yanazingatiwa ili mabeberu wasijepata mwanya wa kujimwambafai.
Kuna kanuni inasema; "playing people against one another, making them pursue you".
Mabeberu ndio tabia zao, wanaweza kuchezesha watu akili, upande huu na upande huu ili kuchochea vurugu.

Hatutakuwa tayari kutumiwa na mabeberu kuuana wenyewe kwa wenyewe. Amani ilindwe kwa mgongo wa haki.

Ndugu zangu, nimalize kwa kusema usikubali mtu akakutumia kudhulumu haki za wengine, mtu huyo anakuhujumu ili kuhatarisha amani ya nchi hii. Pia usikubali mtu akuingize barabarani ikiwa unajua ameshindwa katika uchaguzi.
Piga Kura, Linda kura, usiibe kura. Usifanya vurugu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
kwa sasa Dodoma
logic ni kwamba africa na viongozi wake wakishaikalia nafasi ya uongozi kuiachia huwa ni ngumu sana bora sisi tanzania kidogo kapo ka msingi fulani kazuri pia kwani kunaugumu gani kuitenda haki? kwani nafasi akijaikalia mwingine huwa kuna ubaya gani? shida nyingi za afrika hulipukia katika suala la WIZI wa kura au kufanya mambo ambayo unayaona kama ya siri lakini kumbe yapo wazi TUUWEKE UUNGWANA KWANZA TUPASIANE VYEO KWA AMANI TUWE WA KWANZA AFRIKA KWA KUWA NA DEMOKRASIA YA AINA YAKE YENYE MABADILISHANO MEMA
 
Ni heri mabeberu yanayotoka kwa Jirani kuliko beberu linalokutesa nyumbani mwako.
Waweza ignore maumivu ya adui au mgeni kwako(stranger) kuliko unavyoweza kuvumilia mabaya ya mtu wa nyumbani kwako, mpendwa wako au jirani ambaye mlifaana kwa dhiki.

Ni ngumu.
Kuna wakati tuliulizwa kwa nini Mandela aliwasamehe Makaburu akashindwa kumsamehe Winnie sikulitambua hili.
 
Vijana ambao akili zao zimejaaa UDUMAVU, NJAA, MSOTO WA KUKOSA KAZI na Mwishowe MSONGO WA MAWAZO hawawezi kukuelewa. Uelewa wao ni MFUPI kama kimo cha PIMBI.
Wanalojua ni Matusi na kulalamika tu.
 
Wakitupa misaada tunawaita Nchi wahisani, wakigusa maslahi yetu tunawaita mabeberu. Mkuu unamaanisha katika Hawamu hii ya tano kila kitu kipo sawa?.
 
TUWE MAKINI NA HILA ZA MABEBERU, TUSIJEINGIA KINGI

Na, Robert Heriel

Jana nimekumbuka habari za mabeberu na hila zao, nikashtuka sana, nilikaribia kuwa na hofu, Sikujua hofu ile ilisababishwa na nini. Lakini nikiri kusema, akili yangu inaniambia kuwa Mabeberu wapo inchaji mpaka sasa.

Kitabia Mabeberu hawapendi watu wanaogusa maslahi yao. Hiyo ndio tabia yao na wapo hivyo mara zote na kwa uzoefu wangu wa kufuatilia historia na vyombo vya habari vya kimataifa. Mabeberu wapo tayari kupambana na yeyote atakayegusa maslahi yao.

Kwa namna hiyo, sidhani kama Mabeberu wamekuwa na furaha chini ya Utawala wa Magufuli, sidhani kuwa wamefurahia jinsi Magufuli alivyowabana kwenye sekta ya Madini kuanzia kule kwenye Mikataba ya Makinikia, na jinsi biashara ya madini kwa sasa inavyofanyika. Mabeberu wameguswa na kawaida yao hawawezi kukaa kimya bila kujibu mapigo.

Nampongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kuweza kutetea rasilimali za nchi hii. Hilo lipo wazi, Magufuli amejitahidi na amekaribia kuweza kukabiliana na majizi wa Rasilimali ya nchi hii. Magufuli ninamsapoti kwenye hili, na mara zote ninasemaga hivyo, kwani ukweli ni ukweli siku zote.

Sasa Watanzania lazima tuelewe kuwa Mhe. Rais Magufuli alichokoza nyuki wabaya wasio na haya kutoka nchi za Barafu. Sifikirii kama wanamfurahia Mzee wetu huyu Magufuli. Huenda watamchekea tuu usoni, lakini kwa tabia za mabeberu ni watu wa hila, njama na kila aina ya uovu. Beberu ukimpiga, wanatabia ya kujifanya wanajichekesha kumbe wanakutafutia nafasi, wanatumia kanuni isemayo; " Pose as a Friend, Work as a Spy" kisha hutumia kanuni nyingine isemayo "Use the Surrender Tactic: Transform Weakness into Power"
Kanuni hizo wamezitumia na kuangusha waliowengi, Mathalaani Hayati Muammar Gadhafi ambaye Miaka ya themanini alikuwa moto, baadaye mabeberu wakaona watumie mbinu ya "kujifanya marafiki kumbe wanampeleleza"

Gadhafi aliwakaba kooni sana mabeberu kwenye ishu ya Nishati ya mafuta, aliwasumbua vile atakavyo. Beberu kuona Gadafi anamsimamo; ndio akatumia mbinu ya 'Kujifanya amesalimu amri, na kuugeuza udhaifu mpaka kuwa mamlakani"

Unapopambana na Mabeberu usije ukadhani ugomvi wao unaisha, ukiamua uwe umeamua kweli. Kwani ukidhani umewashinda kumbe wenzako wanatafuta ukaribu na wewe ili wakujue zaidi au wanatafuta mbinu zingine ambazo nitazieleza hapo chini.

Mhe. Rais Magufuli, lazima ajue kuwa hawa watu mapambano yao hayaishi, unapoingia field na hawa watu uwe umejitoa kikamilifu. Nafikiri Magufuli anajua jambo hili, na waliokaribu yake wanalijua hili.

Mataifa ya Iran, Korea Kaskazini,, China na Urusi yameamua moja kwa moja, na bila shaka yanamuelewa adui yao hulka yake ilivyo. Hii ndio inawasaidia. Tofauti na hapo nao wangetetereshwa mapema sana.

Mabeberu pia hupenda kutukuzwa, kusifiwa, na kuabudiwa. Mataifa yanayoyatukuza mabeberu hupewa sapoti kwa kiasi kikubwa na mabeberu licha ya kuwa rasilimali zao zinachukuliwa zaidi na hao mabeberu.

Mataifa yasiyoyaabudu, kusifia, na kutukuza mabeberu huonja joto ya jiwe. Mataifa yote yanayotukana mabeberu huingia kwenye migogoro mikubwa na mabeberu.

Tulimuona Sadamu Hussein wa Iraq alivyokuwa akiwatukana mabeberu, tulimuona, Gadafi, Tulimuona Solomon wa Iran, Tunaona Kwa Bashad Alasady wa Syria, tuliona kwa Robert Mugabe, huko kote Mabeberu wameonyesha vurugu zao kwa njia nyingi.

Mabeberu wametumia mbinu za kuangusha uchumi kwa nchi hizo, wametumia njia ya vikwazo vya kiuchumi, wametumia njia ya propaganda kwa kuwapa majina yasiyofaa viongozi wote wasiowaabudu. Wameanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi hizo kwa kutumia vikundi vya kidini, kisiasa, au hata maandamano ya haki za binadamu.

Mhe. Rais Magufuli ni moja ya viongozi wa sasa barani Afrika ambaye amekuwa mstari wa mbele kuwa jasiri kuwasema na kuwatukana mabeberu. Usidhani mabeberu hawamsikii, usidhani mabeberu ni watu wakuchekea watu dizaini ya Magufuli. Mabeberu hawajawahi kuwa na huruma na ushahidi huo upo.

Inafahamika kuwa Hakuna serikali yoyote duniani inayofanya mambo yake kwa asilimia mia moja 100%. Ni lazima yawepo mapungufu tuu. Na kupitia mapungufu hayo ndio Mabeberu huyatumia kama mwanya wa kuleta vuruga zao.

Kikawaida demokrasia ni moja ya dhana za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia chama tawala basi watatumia chama cha upinzani.

Kikawaida Diini ni moja ya nyenzo za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia Ukristo basi watatumia uislamu

Mambo hayo mawili ndio fimbo muhimu za kuzichapa nchi masikini hasa kwa bara la Afrika.

Ni kawaida kwa Mabeberu kuwatumia wapigania haki kutimiza vurugu zao. Unajua wakati mwingine mtu anaweza kuwa mpigania haki lakini asiwe na akili za kutambua hila, njama na ulaghai wa mabeberu hivyo unaweza kukuta mpigania haki akawa anatumika pasipokujua anatumika. Yeye dhamira yake ni kutetea haki na kifanya jamii yake iwe jamii bora lakini kumbe wenzake yaani mabeberu wao wana-agenda nyingine ya siri.

Nawashauri wananchi, tuwe makini hasa kipindi hiki cha Uchaguzi. Watu pigeni kura kuchagua kiongozi mnayemtaka. Atakayepita hewala, atakayeshindwa basi asiumie ilimradi awe ameshindwa halali.

Pia naishauri serikali na vyombo vinavyohusika na Uchaguzi, NEC na ZEC pamoja na vyombo vya dola, tendeni haki, anayeshinda apewe ushindi asiyeshinda apewe pole tumalize uchaguzi maisha yaendelee.

Nafahamu kuwa mabeberu wanaweza kupenyeza watu wasiowaaminifu ili wasitoe haki kwa walioshinda, kisha mabeberu hao hao wakawatumia waliodhulumiwa haki zao kudai haki, mwishowe kukawa na vurugu.

Tusihujumiwe, mara nyingi vipindi hivi ndio huwa na mambo mengi.

Pia serikali itayoingia madarakani ihakikishe yale masuala ya msingi ikiwa ni pamoja na kutenda haki na uadilifu yanazingatiwa ili mabeberu wasijepata mwanya wa kujimwambafai.

Kuna kanuni inasema; "playing people against one another, making them pursue you".
Mabeberu ndio tabia zao, wanaweza kuchezesha watu akili, upande huu na upande huu ili kuchochea vurugu.

Hatutakuwa tayari kutumiwa na mabeberu kuuana wenyewe kwa wenyewe. Amani ilindwe kwa mgongo wa haki.

Ndugu zangu, nimalize kwa kusema usikubali mtu akakutumia kudhulumu haki za wengine, mtu huyo anakuhujumu ili kuhatarisha amani ya nchi hii. Pia usikubali mtu akuingize barabarani ikiwa unajua ameshindwa katika uchaguzi.

Piga Kura, Linda kura, usiibe kura. Usifanya vurugu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
kwa sasa Dodoma
Big up mjumbe nimekupata vilivyo, ila kiukweli zimwi likujualo alikuli likakwisha. Bora mgombea X tushamjua weakness zako kuliko mgombea Y kipindi chote huko masela wake wamempanga vipi?
 
logic ni kwamba africa na viongozi wake wakishaikalia nafasi ya uongozi kuiachia huwa ni ngumu sana bora sisi tanzania kidogo kapo ka msingi fulani kazuri pia kwani kunaugumu gani kuitenda haki? kwani nafasi akijaikalia mwingine huwa kuna ubaya gani? shida nyingi za afrika hulipukia katika suala la WIZI wa kura au kufanya mambo ambayo unayaona kama ya siri lakini kumbe yapo wazi TUUWEKE UUNGWANA KWANZA TUPASIANE VYEO KWA AMANI TUWE WA KWANZA AFRIKA KWA KUWA NA DEMOKRASIA YA AINA YAKE YENYE MABADILISHANO MEMA
Penda Basi Hata Bara Lako... Jaribu Kutoa Mifano Hata Ya Russia Huko
 
Mawazo ya kijinga na kipumbavu. Beberu ni wewe mwenye fikra za kulamba viatu vya wajinga weusi. Wajinga wako kosa Sera huishia hapo. Fungua ubongo acha uharo.
 
TUWE MAKINI NA HILA ZA MABEBERU, TUSIJEINGIA KINGI

Na, Robert Heriel

Jana nimekumbuka habari za mabeberu na hila zao, nikashtuka sana, nilikaribia kuwa na hofu, Sikujua hofu ile ilisababishwa na nini. Lakini nikiri kusema, akili yangu inaniambia kuwa Mabeberu wapo inchaji mpaka sasa.

Kitabia Mabeberu hawapendi watu wanaogusa maslahi yao. Hiyo ndio tabia yao na wapo hivyo mara zote na kwa uzoefu wangu wa kufuatilia historia na vyombo vya habari vya kimataifa. Mabeberu wapo tayari kupambana na yeyote atakayegusa maslahi yao.

Kwa namna hiyo, sidhani kama Mabeberu wamekuwa na furaha chini ya Utawala wa Magufuli, sidhani kuwa wamefurahia jinsi Magufuli alivyowabana kwenye sekta ya Madini kuanzia kule kwenye Mikataba ya Makinikia, na jinsi biashara ya madini kwa sasa inavyofanyika. Mabeberu wameguswa na kawaida yao hawawezi kukaa kimya bila kujibu mapigo.

Nampongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kuweza kutetea rasilimali za nchi hii. Hilo lipo wazi, Magufuli amejitahidi na amekaribia kuweza kukabiliana na majizi wa Rasilimali ya nchi hii. Magufuli ninamsapoti kwenye hili, na mara zote ninasemaga hivyo, kwani ukweli ni ukweli siku zote.

Sasa Watanzania lazima tuelewe kuwa Mhe. Rais Magufuli alichokoza nyuki wabaya wasio na haya kutoka nchi za Barafu. Sifikirii kama wanamfurahia Mzee wetu huyu Magufuli. Huenda watamchekea tuu usoni, lakini kwa tabia za mabeberu ni watu wa hila, njama na kila aina ya uovu. Beberu ukimpiga, wanatabia ya kujifanya wanajichekesha kumbe wanakutafutia nafasi, wanatumia kanuni isemayo; " Pose as a Friend, Work as a Spy" kisha hutumia kanuni nyingine isemayo "Use the Surrender Tactic: Transform Weakness into Power"
Kanuni hizo wamezitumia na kuangusha waliowengi, Mathalaani Hayati Muammar Gadhafi ambaye Miaka ya themanini alikuwa moto, baadaye mabeberu wakaona watumie mbinu ya "kujifanya marafiki kumbe wanampeleleza"

Gadhafi aliwakaba kooni sana mabeberu kwenye ishu ya Nishati ya mafuta, aliwasumbua vile atakavyo. Beberu kuona Gadafi anamsimamo; ndio akatumia mbinu ya 'Kujifanya amesalimu amri, na kuugeuza udhaifu mpaka kuwa mamlakani"

Unapopambana na Mabeberu usije ukadhani ugomvi wao unaisha, ukiamua uwe umeamua kweli. Kwani ukidhani umewashinda kumbe wenzako wanatafuta ukaribu na wewe ili wakujue zaidi au wanatafuta mbinu zingine ambazo nitazieleza hapo chini.

Mhe. Rais Magufuli, lazima ajue kuwa hawa watu mapambano yao hayaishi, unapoingia field na hawa watu uwe umejitoa kikamilifu. Nafikiri Magufuli anajua jambo hili, na waliokaribu yake wanalijua hili.

Mataifa ya Iran, Korea Kaskazini,, China na Urusi yameamua moja kwa moja, na bila shaka yanamuelewa adui yao hulka yake ilivyo. Hii ndio inawasaidia. Tofauti na hapo nao wangetetereshwa mapema sana.

Mabeberu pia hupenda kutukuzwa, kusifiwa, na kuabudiwa. Mataifa yanayoyatukuza mabeberu hupewa sapoti kwa kiasi kikubwa na mabeberu licha ya kuwa rasilimali zao zinachukuliwa zaidi na hao mabeberu.

Mataifa yasiyoyaabudu, kusifia, na kutukuza mabeberu huonja joto ya jiwe. Mataifa yote yanayotukana mabeberu huingia kwenye migogoro mikubwa na mabeberu.

Tulimuona Sadamu Hussein wa Iraq alivyokuwa akiwatukana mabeberu, tulimuona, Gadafi, Tulimuona Solomon wa Iran, Tunaona Kwa Bashad Alasady wa Syria, tuliona kwa Robert Mugabe, huko kote Mabeberu wameonyesha vurugu zao kwa njia nyingi.

Mabeberu wametumia mbinu za kuangusha uchumi kwa nchi hizo, wametumia njia ya vikwazo vya kiuchumi, wametumia njia ya propaganda kwa kuwapa majina yasiyofaa viongozi wote wasiowaabudu. Wameanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi hizo kwa kutumia vikundi vya kidini, kisiasa, au hata maandamano ya haki za binadamu.

Mhe. Rais Magufuli ni moja ya viongozi wa sasa barani Afrika ambaye amekuwa mstari wa mbele kuwa jasiri kuwasema na kuwatukana mabeberu. Usidhani mabeberu hawamsikii, usidhani mabeberu ni watu wakuchekea watu dizaini ya Magufuli. Mabeberu hawajawahi kuwa na huruma na ushahidi huo upo.

Inafahamika kuwa Hakuna serikali yoyote duniani inayofanya mambo yake kwa asilimia mia moja 100%. Ni lazima yawepo mapungufu tuu. Na kupitia mapungufu hayo ndio Mabeberu huyatumia kama mwanya wa kuleta vuruga zao.

Kikawaida demokrasia ni moja ya dhana za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia chama tawala basi watatumia chama cha upinzani.

Kikawaida Diini ni moja ya nyenzo za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia Ukristo basi watatumia uislamu

Mambo hayo mawili ndio fimbo muhimu za kuzichapa nchi masikini hasa kwa bara la Afrika.

Ni kawaida kwa Mabeberu kuwatumia wapigania haki kutimiza vurugu zao. Unajua wakati mwingine mtu anaweza kuwa mpigania haki lakini asiwe na akili za kutambua hila, njama na ulaghai wa mabeberu hivyo unaweza kukuta mpigania haki akawa anatumika pasipokujua anatumika. Yeye dhamira yake ni kutetea haki na kifanya jamii yake iwe jamii bora lakini kumbe wenzake yaani mabeberu wao wana-agenda nyingine ya siri.

Nawashauri wananchi, tuwe makini hasa kipindi hiki cha Uchaguzi. Watu pigeni kura kuchagua kiongozi mnayemtaka. Atakayepita hewala, atakayeshindwa basi asiumie ilimradi awe ameshindwa halali.

Pia naishauri serikali na vyombo vinavyohusika na Uchaguzi, NEC na ZEC pamoja na vyombo vya dola, tendeni haki, anayeshinda apewe ushindi asiyeshinda apewe pole tumalize uchaguzi maisha yaendelee.

Nafahamu kuwa mabeberu wanaweza kupenyeza watu wasiowaaminifu ili wasitoe haki kwa walioshinda, kisha mabeberu hao hao wakawatumia waliodhulumiwa haki zao kudai haki, mwishowe kukawa na vurugu.

Tusihujumiwe, mara nyingi vipindi hivi ndio huwa na mambo mengi.

Pia serikali itayoingia madarakani ihakikishe yale masuala ya msingi ikiwa ni pamoja na kutenda haki na uadilifu yanazingatiwa ili mabeberu wasijepata mwanya wa kujimwambafai.

Kuna kanuni inasema; "playing people against one another, making them pursue you".
Mabeberu ndio tabia zao, wanaweza kuchezesha watu akili, upande huu na upande huu ili kuchochea vurugu.

Hatutakuwa tayari kutumiwa na mabeberu kuuana wenyewe kwa wenyewe. Amani ilindwe kwa mgongo wa haki.

Ndugu zangu, nimalize kwa kusema usikubali mtu akakutumia kudhulumu haki za wengine, mtu huyo anakuhujumu ili kuhatarisha amani ya nchi hii. Pia usikubali mtu akuingize barabarani ikiwa unajua ameshindwa katika uchaguzi.

Piga Kura, Linda kura, usiibe kura. Usifanya vurugu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
kwa sasa Dodoma
Hata Nyererealiwatukana sana pia alikataa mambo yao mengi tu lakini kwa kuwa watz walikuwawamoja hawakuweza. Hata sasa hawataweza wasaliti na vibaraka bado ni wachache sana ndiyo maana kila wanachopanga wanashindwa! Bado sanaa kwa TZ mkuu!
 
Mawazo ya kijinga na kipumbavu. Beberu ni wewe mwenye fikra za kulamba viatu vya wajinga weusi. Wajinga wako kosa Sera huishia hapo. Fungua ubongo acha uharo.
Wewe lazima utakuwa kibaraka wa hao mabeberu. Hata wakati wa kina Mkwawa walikuwepo vibaraka walikuwa wanawasaidia Wajerumani hivyo hatushangai.
 
Wewe lazima utakuwa kibaraka wa hao mabeberu. Hata wakati wa kina Mkwawa walikuwepo vibaraka walikuwa wanawasaidia Wajerumani hivyo hatushangai.

Kama ubongo wako uharo ulivyo kwa huyo mjinga mwenzio
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mabeberu watu wabaya sana.Kumbe ndio wamemwambia ajenge Stadium/Arena kubwa kwao chato ili kuvutia watalii wakati sehemu kubwa ya nchi wananchi ambao nao ni walipa kodi hawana hata maji.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
TUWE MAKINI NA HILA ZA MABEBERU, TUSIJEINGIA KINGI

Na, Robert Heriel

Jana nimekumbuka habari za mabeberu na hila zao, nikashtuka sana, nilikaribia kuwa na hofu, Sikujua hofu ile ilisababishwa na nini. Lakini nikiri kusema, akili yangu inaniambia kuwa Mabeberu wapo inchaji mpaka sasa.

Kitabia Mabeberu hawapendi watu wanaogusa maslahi yao. Hiyo ndio tabia yao na wapo hivyo mara zote na kwa uzoefu wangu wa kufuatilia historia na vyombo vya habari vya kimataifa. Mabeberu wapo tayari kupambana na yeyote atakayegusa maslahi yao.

Kwa namna hiyo, sidhani kama Mabeberu wamekuwa na furaha chini ya Utawala wa Magufuli, sidhani kuwa wamefurahia jinsi Magufuli alivyowabana kwenye sekta ya Madini kuanzia kule kwenye Mikataba ya Makinikia, na jinsi biashara ya madini kwa sasa inavyofanyika. Mabeberu wameguswa na kawaida yao hawawezi kukaa kimya bila kujibu mapigo.

Nampongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kuweza kutetea rasilimali za nchi hii. Hilo lipo wazi, Magufuli amejitahidi na amekaribia kuweza kukabiliana na majizi wa Rasilimali ya nchi hii. Magufuli ninamsapoti kwenye hili, na mara zote ninasemaga hivyo, kwani ukweli ni ukweli siku zote.

Sasa Watanzania lazima tuelewe kuwa Mhe. Rais Magufuli alichokoza nyuki wabaya wasio na haya kutoka nchi za Barafu. Sifikirii kama wanamfurahia Mzee wetu huyu Magufuli. Huenda watamchekea tuu usoni, lakini kwa tabia za mabeberu ni watu wa hila, njama na kila aina ya uovu. Beberu ukimpiga, wanatabia ya kujifanya wanajichekesha kumbe wanakutafutia nafasi, wanatumia kanuni isemayo; " Pose as a Friend, Work as a Spy" kisha hutumia kanuni nyingine isemayo "Use the Surrender Tactic: Transform Weakness into Power"
Kanuni hizo wamezitumia na kuangusha waliowengi, Mathalaani Hayati Muammar Gadhafi ambaye Miaka ya themanini alikuwa moto, baadaye mabeberu wakaona watumie mbinu ya "kujifanya marafiki kumbe wanampeleleza"

Gadhafi aliwakaba kooni sana mabeberu kwenye ishu ya Nishati ya mafuta, aliwasumbua vile atakavyo. Beberu kuona Gadafi anamsimamo; ndio akatumia mbinu ya 'Kujifanya amesalimu amri, na kuugeuza udhaifu mpaka kuwa mamlakani"

Unapopambana na Mabeberu usije ukadhani ugomvi wao unaisha, ukiamua uwe umeamua kweli. Kwani ukidhani umewashinda kumbe wenzako wanatafuta ukaribu na wewe ili wakujue zaidi au wanatafuta mbinu zingine ambazo nitazieleza hapo chini.

Mhe. Rais Magufuli, lazima ajue kuwa hawa watu mapambano yao hayaishi, unapoingia field na hawa watu uwe umejitoa kikamilifu. Nafikiri Magufuli anajua jambo hili, na waliokaribu yake wanalijua hili.

Mataifa ya Iran, Korea Kaskazini,, China na Urusi yameamua moja kwa moja, na bila shaka yanamuelewa adui yao hulka yake ilivyo. Hii ndio inawasaidia. Tofauti na hapo nao wangetetereshwa mapema sana.

Mabeberu pia hupenda kutukuzwa, kusifiwa, na kuabudiwa. Mataifa yanayoyatukuza mabeberu hupewa sapoti kwa kiasi kikubwa na mabeberu licha ya kuwa rasilimali zao zinachukuliwa zaidi na hao mabeberu.

Mataifa yasiyoyaabudu, kusifia, na kutukuza mabeberu huonja joto ya jiwe. Mataifa yote yanayotukana mabeberu huingia kwenye migogoro mikubwa na mabeberu.

Tulimuona Sadamu Hussein wa Iraq alivyokuwa akiwatukana mabeberu, tulimuona, Gadafi, Tulimuona Solomon wa Iran, Tunaona Kwa Bashad Alasady wa Syria, tuliona kwa Robert Mugabe, huko kote Mabeberu wameonyesha vurugu zao kwa njia nyingi.

Mabeberu wametumia mbinu za kuangusha uchumi kwa nchi hizo, wametumia njia ya vikwazo vya kiuchumi, wametumia njia ya propaganda kwa kuwapa majina yasiyofaa viongozi wote wasiowaabudu. Wameanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi hizo kwa kutumia vikundi vya kidini, kisiasa, au hata maandamano ya haki za binadamu.

Mhe. Rais Magufuli ni moja ya viongozi wa sasa barani Afrika ambaye amekuwa mstari wa mbele kuwa jasiri kuwasema na kuwatukana mabeberu. Usidhani mabeberu hawamsikii, usidhani mabeberu ni watu wakuchekea watu dizaini ya Magufuli. Mabeberu hawajawahi kuwa na huruma na ushahidi huo upo.

Inafahamika kuwa Hakuna serikali yoyote duniani inayofanya mambo yake kwa asilimia mia moja 100%. Ni lazima yawepo mapungufu tuu. Na kupitia mapungufu hayo ndio Mabeberu huyatumia kama mwanya wa kuleta vuruga zao.

Kikawaida demokrasia ni moja ya dhana za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia chama tawala basi watatumia chama cha upinzani.

Kikawaida Diini ni moja ya nyenzo za mabeberu kuzichapa nchi masikini. Kama hawatatumia Ukristo basi watatumia uislamu

Mambo hayo mawili ndio fimbo muhimu za kuzichapa nchi masikini hasa kwa bara la Afrika.

Ni kawaida kwa Mabeberu kuwatumia wapigania haki kutimiza vurugu zao. Unajua wakati mwingine mtu anaweza kuwa mpigania haki lakini asiwe na akili za kutambua hila, njama na ulaghai wa mabeberu hivyo unaweza kukuta mpigania haki akawa anatumika pasipokujua anatumika. Yeye dhamira yake ni kutetea haki na kifanya jamii yake iwe jamii bora lakini kumbe wenzake yaani mabeberu wao wana-agenda nyingine ya siri.

Nawashauri wananchi, tuwe makini hasa kipindi hiki cha Uchaguzi. Watu pigeni kura kuchagua kiongozi mnayemtaka. Atakayepita hewala, atakayeshindwa basi asiumie ilimradi awe ameshindwa halali.

Pia naishauri serikali na vyombo vinavyohusika na Uchaguzi, NEC na ZEC pamoja na vyombo vya dola, tendeni haki, anayeshinda apewe ushindi asiyeshinda apewe pole tumalize uchaguzi maisha yaendelee.

Nafahamu kuwa mabeberu wanaweza kupenyeza watu wasiowaaminifu ili wasitoe haki kwa walioshinda, kisha mabeberu hao hao wakawatumia waliodhulumiwa haki zao kudai haki, mwishowe kukawa na vurugu.

Tusihujumiwe, mara nyingi vipindi hivi ndio huwa na mambo mengi.

Pia serikali itayoingia madarakani ihakikishe yale masuala ya msingi ikiwa ni pamoja na kutenda haki na uadilifu yanazingatiwa ili mabeberu wasijepata mwanya wa kujimwambafai.

Kuna kanuni inasema; "playing people against one another, making them pursue you".
Mabeberu ndio tabia zao, wanaweza kuchezesha watu akili, upande huu na upande huu ili kuchochea vurugu.

Hatutakuwa tayari kutumiwa na mabeberu kuuana wenyewe kwa wenyewe. Amani ilindwe kwa mgongo wa haki.

Ndugu zangu, nimalize kwa kusema usikubali mtu akakutumia kudhulumu haki za wengine, mtu huyo anakuhujumu ili kuhatarisha amani ya nchi hii. Pia usikubali mtu akuingize barabarani ikiwa unajua ameshindwa katika uchaguzi.

Piga Kura, Linda kura, usiibe kura. Usifanya vurugu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
kwa sasa Dodoma
Mabeberu wa ccm. Wanaojilimbikizia mali?
 
Mzungu akitaka yake yanakuwa nadra Sana kushindwa
 
Haya mambo yanatakiwa kunyumbulishwa kwa ustadi wa hali ya juu.

Kwanza kabisa, dhana nzima ya "beberu", kabla ya hilo jina kutumika "willy nilly", inabidi ifafanuliwe vizuri.

Beberu ni nani? Ni lazima awe mgeni au hata mtu wa nyumbani anaweza kuwa beberu? Utamjuaje huyu beberu na huyu si beberu?

Je, ukisema fulani beberu, halafu ukakubali msaada wake kutimiza bajeti yako, wewe ni mjinga? Wewe ni malaya wa kisiasa? Au unahadaa watu kwa hadithi za undumilakuwili wenye ghilba nyingi tu?

Katika dunia hii yenye ujasusi wa kimataifa, ni kweli kuna ubeberu, kuna espionage, economic sabotage etc.

Lakini pia, wanasiasa wetu wanaoshindwa kutimiza wajibu wao wanatumia chaka la "mabeberu" kama kisingizio (boogey man) kuficha ukweli kwamba hawajaweza kutumiza wajibu wao.

Sasa, wananchi watajuaje hapa hizi habari za mabeberu ni za kweli, na hapa pengine hizi habari zingine ni hadithi za wanasiasa walioshindwa kutimiza waibu wao wanatafuta kisingizio tu cha kuficha uzembe wao?
 
Wafrika bhana. Mabeberu wanatuonea wivu utafikiri huyo mwafrika anaishi kwenye nchi ya maziwa na asali
1. Mafuta ya kupikia dumu la rita 5 ni 28, 000 mpk 30 hiyo alizeti
2. Sukari kilo 1 mpk 3,000.
3. Petrolium imepanda bei
4. Nyama kwa sasa kilo 1 - 7000-8000
5. Mawasiliano ni anasa sasa. 400mb unanunua kwa buku
6. Tozo kwenye umeme, miamala n.k
Halafu bado mtu sijui anaonewa wivu na beberu.
Ww una maziwa, mbuga za wanyama, dhahabu, almasi, makaa ya mawe, gesi na bado nchi yako ni masikini na unahangaika na umeme na maji ya mgao
Hata ningekuwa ni beberu lazima nivichuke hata kwa lazima. Maana wwe hauna akili na umeshindwa kivitumia.
 
Back
Top Bottom