Umewaza vyema kabisa,tufanye utafiti haraka huko treni la aina hii wanafanyaje kudhibti hujuma hii!Uongozi wa TRA pamoja na mamlaka zingine ziwe makini sana na baadhi ya wafanyabiashara/wasafirishaji wa mabasi na malori ya mizigo wanaweza kuhujumu usafiri mpya ulio zinduliwa wa treni ya kisasa ya SGR.
tunafahamu baadhi ya wafanyabiashara za usafirishaji hawakufurahia ujio wa SGR kwa kisingizio kuwa utaharibu biashara yao ya usafirishaji kwa mabasi na mizigo.
tuwe makini, tulinde treni yetu.
Uzuri ni kwambaUongozi wa TRA pamoja na mamlaka zingine ziwe makini sana na baadhi ya wafanyabiashara/wasafirishaji wa mabasi na malori ya mizigo wanaweza kuhujumu usafiri mpya ulio zinduliwa wa treni ya kisasa ya SGR.
Tunafahamu baadhi ya wafanyabiashara za usafirishaji hawakufurahia ujio wa SGR kwa kisingizio kuwa utaharibu biashara yao ya usafirishaji kwa mabasi na mizigo.
Tuwe makini, tulinde treni yetu.
Mimi mbunge wa Mwakaleli!Sasa kama wenye mabasi wenyewe ndo wawakilishi wa wananchi uko bungeni unategemea nn?
Nianze na Abood mbunge Morogoro Mjini
Shabiby mbunge Gairo
King msukuma mbunge Geita vijijini
Ongezea na wengine twende Sawa.