Tuwe Makini wasichana tutadanganywa mpaka lini??

Inategemea na situation, atleast unajua uko na mtu wa namna gani na hujiachii asilimia zote, na kama kumkatalia kamahumtaki pia inakuwa ni uamuzi wako, kwa vie ukweli unakuwa nao

Angekwambia ukweli ungemchuna sana.
Hapo yenyewe tu bado ulimchuna akulipie gharama za masomo. Kwa hiyo acha na yeye ajifaidie.
 
Mtumeeeee! keshaibiwa mtu mume, sasa huyo mume alidhani akikudanganya ndio ataonekana bora ama?
endelea na maisha kuliko kukubali kuwa mke wa pili kwa jamaa muongo hivo

Nyie mnaomshauri mmeolewa?
 

Porojo tu.
Mnadanganyika kila siku, halafu kujifanya uhodari wa kushauri.
 

Halafu bado anajifanya anataka ushauri.
 
Jitu kama hili litakuwa smart sana huwezi kulikamata, mweeee maumivu nahisi

Huwa hamuwakubali watu wakweli nyie.
Acha muendelee kuumizwa kwani mnapenda makuu mno.
We humuoni mtu alivyo kiuchumi, hujiulizi huko nyuma koooote alikopita hajapata mtu kweli. Tamaa zenu zinawaponza.
 
Mia, fadhila gan sasa wakati jamaa hakuwa mkweli, this means hata walichokuwa nacho wakadhani ni penzi ni uongo mtupu

Cha muhimu jamaa kapata alichokipata, MBWECHE. na binti pia kapata alichokipata, MAFAO na gharama za masomo.
Mnapenda sana kukuta mambo tayari yapo mazuri.
Hampendi kuanza na mtu kapuku ili mjenge wote maisha.
Dawa yake ndio hiyo.
 

Ulistahili ulichokipata.
Kwani unaonekana ulikuwa unajilazimisha kudanganywa.
 

Ndo ameshajitangaza hivyo kuwa yuko singo na anatafuta mwenza. Changamkia tenda hiyo.
 
uhuru wa chuo ni wa muda tu, lakini muhimu kama kweli unahitaji uwe na mwenza ni vyema ukawa naye huru zaidi wakati wa likizo

Mnakuwa hamna shuli nyingine za kufanya zaidi ya mapenzi.
 
<br />
<br />
ni sahihi kabisa, tena huwa namwambia unanidanganya kimoyo moyo. Nikihisi unanidanganya muda si mrefu napata evidence kuwa ulinidanganya. Ni ngumu kuniamini ila habari ndio hiyo.

Watu kama nyie ndo huwa mnapatikana kirahisi mno.
 

Vile vile ameshatumika sana, kwa hiyo jamaa wa watu atakayefuatia maskini atakuta kitu kimetumika sana. Uonevu huu.
 
Pole dada kwa yaliokukuta muombe mungu akupe ujasiri utafanikiwa uatapata mwanaumwe wa kweli mwenye mapenzi ya kweli huyo uliekuwa naye hakuwa na mapenzi ya kweli kwako alitaka kukuchezea na kukupotezea tu....

Na amefanikiwa kumchezea.
Atakaefuata nae hivo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…