Tuwe na mpango madhubuti wa kupanda miti millioni 50 msimu huu wa mvua

Tuwe na mpango madhubuti wa kupanda miti millioni 50 msimu huu wa mvua

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Ninaiomba Wizara ya Muungano na Mazingira ije na mpango madhubuti kabisa wa kupanda miti millioni 50 katika kipindi hiki cha mvua. Uhamasishaji ufanywe kuanzia uongozi wa Kaya, Mashule, Mitaa/Vijiji, Kata, Tarafa, Wilaya , Mikoa mpaka Taifa. Mpango huu usimamiwe kikamilifu na Waziri mwenye dhamana ya Mazingira Mhe. Jaffo na uzinduzi ufanywe na Mhe. Rais katika eneo atakalolichagua Mhe. Waziri. Ni vema tukatumia mvua zinazoendelea kunyesha kupanda miti millioni 50. Wenzetu jirani zetu nimeona Mhe. Rais wao ndo amekuwa msimamizi mkuu wa jambo hili. Mhe. Jaffo tunakuomba usimamie uhamasishaji wa jambo hili.
 
Ninaiomba Wizara ya Muungano na Mazingira ije na mpango madhubuti kabisa wa kupanda miti millioni 50 katika kipindi hiki cha mvua. Uhamasishaji ufanywe kuanzia uongozi wa Kaya, Mashule, Mitaa/Vijiji, Kata, Tarafa, Wilaya , Mikoa mpaka Taifa. Mpango huu usimamiwe kikamilifu na Waziri mwenye dhamana ya Mazingira Mhe. Jaffo na uzinduzi ufanywe na Mhe. Rais katika eneo atakalolichagua Mhe. Waziri. Ni vema tukatumia mvua zinazoendelea kunyesha kupanda miti millioni 50. Wenzetu jirani zetu nimeona Mhe. Rais wao ndo amekuwa msimamizi mkuu wa jambo hili. Mhe. Jaffo tunakuomba usimamie uhamasishaji wa jambo hili.
Tena Rais Ruto wa Kenya ameifanya siku ya leo kuwa ni public holiday kwa ajili pia ya kuotesha miti. Naye Mh Rais Samia a true siku rasmi kwa ajili hiyo shule zote pamoja na wananchi kwa ujumla kwenye Kila kaya waoteshe miti kuzunguka maeneo Yao.
 
IGEPIDI IWEGWE SHEDIA KILA GAYA IWEEE NA MUTIII
 
Back
Top Bottom