Mr_Teacher
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 362
- 343
Najua mtanipinga, lakini tusaidiane kuelewa kidogo. Kwanza asieshukuru kwa kidogo hawezi kuwa na shukrani kwa makubwa. Watumishi tulkua na matarajio makubwa sana juu ya 23%, lakini imetokea ilivyotokea. Ila, kwa mapato ya Nchi yetu na idadi ya watumishi hiyo 23% ingepigwa hivo kwa kila mtu Nchi ingeenda hii?
Roughly 60% ya Makusanyo ya TRA hutumika kuwalipa watumishi.
Tunasahau pia kuwa Mama tangu mwaka jana ameajiri sana, na sasa anaendelea kuajiri sana, kila siku Tume ya Ajira Serikalini matangazo ya kazi maelfu kwa maelfu achilia mbali zile za Afya na Elimu kule TAMISEMI, hilo ongezeko kubwa na ongezeko hili la Watumishi mlitaka Nchi isijiendeshe?
Haya kuna watu mwaka jana na mwaka huu wamepanda Mishahara kupitia kupanda Madaraja, yote haya hatuyaoni tumekalia kulaumu tu?
Mkopo umelegezwa malipo Bodies ya Mikopo hii imeongeza amount ya Take Home bado hatuthamini? La msingi ni kweli maisha magumu Serikali iendelee kuboresha mifumo ikiwemo kuthibiti mfumuko wa bei ili tuweze kumudu maisha.
Kama ni lawama apewe aliyezuia mishahara kupanda 6 years na kuzuia Ajira mda wote huo. Mama apige kazi, tumuunge mkoni, with time tutakuja kumuelewa
Roughly 60% ya Makusanyo ya TRA hutumika kuwalipa watumishi.
Tunasahau pia kuwa Mama tangu mwaka jana ameajiri sana, na sasa anaendelea kuajiri sana, kila siku Tume ya Ajira Serikalini matangazo ya kazi maelfu kwa maelfu achilia mbali zile za Afya na Elimu kule TAMISEMI, hilo ongezeko kubwa na ongezeko hili la Watumishi mlitaka Nchi isijiendeshe?
Haya kuna watu mwaka jana na mwaka huu wamepanda Mishahara kupitia kupanda Madaraja, yote haya hatuyaoni tumekalia kulaumu tu?
Mkopo umelegezwa malipo Bodies ya Mikopo hii imeongeza amount ya Take Home bado hatuthamini? La msingi ni kweli maisha magumu Serikali iendelee kuboresha mifumo ikiwemo kuthibiti mfumuko wa bei ili tuweze kumudu maisha.
Kama ni lawama apewe aliyezuia mishahara kupanda 6 years na kuzuia Ajira mda wote huo. Mama apige kazi, tumuunge mkoni, with time tutakuja kumuelewa