Tuwe na somo la sheria na katiba kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari

Tuwe na somo la sheria na katiba kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Baada ya Lissu kukataa kupima mkojo na wakili Fatma Karume kumshitaki Polisi aliemzonga Mahakamani, nimegundua kuna umuhumi mkubwa wa wananchi kujua sheria za nchi zinasema nini na pia katiba ya nchi inasema nini.

Ni wazi watanzania wengi wananyanyasiki kwa kutojua sheria za nchi na kutojua sheria na katiba ya nchi inasema nini tafsiri yake ni kutojua haki zako na tafsiri sahihi ya kutojua haki zako ni kunyanyasika, kuonwa na kudhalilishwa.

Nafikiri wakati umefika somo la katiba na sheria liwe introduced katika mfumo wetu wa elimu kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari na ikiwezekana mpaka chuo kikuu..

Somo hili liwe compulsory ni lilenge kutoa basic knowledge kuhusu sheria za nchi na katiba ili wananchi wafahamu haki zao.

Pamoja na mambo mengine,somo hili lilenge kuelimisha umma haki zao za kisheria wawapo mikononi mwa polisi,mahakamani na mahabusu.

Sitaraji watawala wa sasa wanaweza kukubali wazo hili hivyo nawashauri UKAWA kuchukua wazo hili na waliingize katika Ilani yao ya mwaka 2020.

Civics pekee naona haitoshi na badala yake kuna paswa kuwa na somo (subject) maalumu kuhusu basic laws na haki za raia wa nchie hii
 
Imeongea pointi sana Mkuu, ni kweli hili jambo litawafanya watanzania wengi waliolala kifkra kuamka. Maana asilimia kubwa ya watanzania hawajielewi ni kama mazuzu
 
Baada ya Lissu kukataa kupima mkojo na wakili Fatma Karume kumshitaki Polisi aliemzonga Mahakamani, nimegundua kuna umuhumi mkubwa wa wananchi kujua sheria za nchi zinasema nini na pia katiba ya nchi inasema nini.

Ni wazi watanzania wengi wananyanyasiki kwa kutojua sheria za nchi na kutojua sheria na katiba ya nchi inasema nini tafsiri yake ni kutojua haki zako na tafsiri sahihi ya kutojua haki zako ni kunyanyasika, kuonwa na kudhalilishwa.

Nafikiri wakati umefika somo la katiba na sheria liwe introduced katika mfumo wetu wa elimu kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari na ikiwezekana mpaka chuo kikuu..

Somo hili liwe compulsory ni lilenge kutoa basic knowledge kuhusu sheria za nchi na katiba ili wananchi wafahamu haki zao.

Pamoja na mambo mengine,somo hili lilenge kuelimisha umma haki zao za kisheria wawapo mikononi mwa polisi,mahakamani na mahabusu.

Sitaraji watawala wa sasa wanaweza kukubali wazo hili hivyo nawashauri UKAWA kuchukua wazo hili na waliingize katika Ilani yao ya mwaka 2020.

Civics pekee naona haitoshi na badala yake kuna paswa kuwa na somo (subject) maalumu kuhusu basic laws na haki za raia wa nchie hii
CC: Tundu Lissu Tumaini Makene
 
Nafikiri wakati umefika somo la katiba na sheria liwe introduced katika mfumo wetu wa elimu kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari na ikiwezekana mpaka chuo kikuu..

Somo hili liwe compulsory ni lilenge kutoa basic knowledge kuhusu sheria za nchi na katiba ili wananchi wafahamu haki zao.

Pamoja na mambo mengine,somo hili lilenge kuelimisha umma haki zao za kisheria wawapo mikononi mwa polisi,mahakamani na mahabusu.


Huu ni mwiba Mkuu, unakumbuka kuna mwaka watoto wa shule za msingi na sekondari waliandamana na walifanyiwa nini pamoja na kuwa walikuwa na madai ya msingi kabisa, katika nchi zingine watoto wale wangesikilizwa na kutatuliwa shida zao, lakini kwetu ilikuwa kinyume
 
Boss Salary Slip Hii itakuwa sawa na Kubadilisha Katiba na Sheria za Nchi. So utatofautiana na Jamhuri na Serikali na CCM.

Ukitoa Elimu, Wananchi wakiielimika nini kitafuata? Si watadai Haki zao? Ndio utakuwa mwisho wa CCM.

Ila maneno yangu si Sheria. Wasije wakaja kuning'oa meno na kunitoa kucha bila ganzi.




Baada ya Lissu kukataa kupima mkojo na wakili Fatma Karume kumshitaki Polisi aliemzonga Mahakamani, nimegundua kuna umuhumi mkubwa wa wananchi kujua sheria za nchi zinasema nini na pia katiba ya nchi inasema nini.

Ni wazi watanzania wengi wananyanyasiki kwa kutojua sheria za nchi na kutojua sheria na katiba ya nchi inasema nini tafsiri yake ni kutojua haki zako na tafsiri sahihi ya kutojua haki zako ni kunyanyasika, kuonwa na kudhalilishwa.

Nafikiri wakati umefika somo la katiba na sheria liwe introduced katika mfumo wetu wa elimu kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari na ikiwezekana mpaka chuo kikuu..

Somo hili liwe compulsory ni lilenge kutoa basic knowledge kuhusu sheria za nchi na katiba ili wananchi wafahamu haki zao.

Pamoja na mambo mengine,somo hili lilenge kuelimisha umma haki zao za kisheria wawapo mikononi mwa polisi,mahakamani na mahabusu.

Sitaraji watawala wa sasa wanaweza kukubali wazo hili hivyo nawashauri UKAWA kuchukua wazo hili na waliingize katika Ilani yao ya mwaka 2020.

Civics pekee naona haitoshi na badala yake kuna paswa kuwa na somo (subject) maalumu kuhusu basic laws na haki za raia wa nchie hii
 
Boss Salary Slip Hii itakuwa sawa na Kubadilisha Katiba na Sheria za Nchi. So utatofautiana na Jamhuri na Serikali na CCM.

Ukitoa Elimu, Wananchi wakiielimika nini kitafuata? Si watadai Haki zao? Ndio utakuwa mwisho wa CCM.

Ila maneno yangu si Sheria. Wasije wakaja kuning'oa meno na kunitoa kucha bila ganzi.
Ndio maana nikaasma hawa watawala wa sasa hawawezi kukubali jambo hili.Hata hivyo, wanajidanganya tu kwani kila kitu kina mwisho wake.
 
[emoji87] sijui kama watafaulu

Rubiikimimi[emoji85]
 
Wenzenu walioendelea wanakazana kuanzisha shule na vyuo kwa masomo ya sayansi nyie mnakomalia masomo ya sheria.

Ndugu, masomo ya sheria hayajengi viwanda
 
Back
Top Bottom