Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Hello JF...
Nimeona kilio cha wahitimu wetu wa University kuongezewa deni la mkopo.
Hii ipo nchi nyingi duniani.
I understand, deni linafidia na kuwasomesha wengine.
ila ingependeza kama serikali ingejenga colleges ambazo zinatoa course almost similar but at cheaper price,
kiasi kwamba wananchi can afford, na kama ni kuchukua loan, then sio loan zitakazoumiza.
One advantage; ni hii affordability itawa motivate watu wengi zaidi kujiunga na hizi colleges.
Huu uwingi wa watu kutaka kusoma kwenye hizo colleges,ukitumika vyema kwa kuwapa relevant knowledge/skillsn will drive our nation foward.
This means we will have educated nation! which is good for the economy
Sio kama sasa hivi, Universities fees ziko juu sana, na bado kuna deni la milele, this detters other people to enroll
Matokeo yake ni wachache wanajiunga na hizo universities,while majority of Tanzanians remains in the dark
This adds to economic burdens.
Becky
Nimeona kilio cha wahitimu wetu wa University kuongezewa deni la mkopo.
Hii ipo nchi nyingi duniani.
I understand, deni linafidia na kuwasomesha wengine.
ila ingependeza kama serikali ingejenga colleges ambazo zinatoa course almost similar but at cheaper price,
kiasi kwamba wananchi can afford, na kama ni kuchukua loan, then sio loan zitakazoumiza.
One advantage; ni hii affordability itawa motivate watu wengi zaidi kujiunga na hizi colleges.
Huu uwingi wa watu kutaka kusoma kwenye hizo colleges,ukitumika vyema kwa kuwapa relevant knowledge/skillsn will drive our nation foward.
This means we will have educated nation! which is good for the economy
Sio kama sasa hivi, Universities fees ziko juu sana, na bado kuna deni la milele, this detters other people to enroll
Matokeo yake ni wachache wanajiunga na hizo universities,while majority of Tanzanians remains in the dark
This adds to economic burdens.
Becky