Mahitaji ya cdm ya sasa yanamuhitaji nani?..Mbowe hajakata tamaa na kiwango cha uvumilivu kiko bora kabisa kwa sasa kuliko wakati mwingine wowote na hivyo atakilinda chama kisivunjike wakati huu ambapo ccm wamedhoofika zaidi, ccm inaongozwa kitoto hawatafika mbali na hawana hao watu wa kuwapa matokeo yanayoweza kuwaridhisha wote wao kwa wao na wananchi kwa ujumla, kila majira yana mahitaji yake mawili au matatu muhimu, mahitaji ya chadema kwa sasa hayamhitaji mtu wa aina ya Lissu..
Gentleman,Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea
Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.
Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
..katiba yao ina nguvu zaidi ya katiba ya nchi? katiba wakati unaowaongoza wamewachoka..CCM wanaheshimu Katiba yao
wewe unamuunga mkono kibaraka au mzalendo?πMahitaji ya cdm ya sasa yanamuhitaji nani?
acha uvuvi gentleman ,..katiba yao ina nguvu zaidi ya katiba ya nchi? katiba wakati unaowaongoza wamewachoka..
..bado yanahitaji mtu mwenye uvumilivu sana na mlezi kuepusha shari.Mahitaji ya cdm ya sasa yanamuhitaji nani?
Huna hoja yoyote ya msingi bali una nongwa zaidi.Sifa alizotaja Lissu jana..ni sifa gani hakuwa nayo wakati Mbowe anagombea uenyekiti mara ya kwanza? Km vile viungo vya mwili vinavyohitajiana na uongozi kwenye kundi ni hivyo hivyo, mkono hauwezi kufanya kazi za kichwa..Lissu hawezi kazi/majukumu ya kuwa Mwenyekiti..anaweza kuwa msaidizi..ukizitambua kazi za kichwa cha mnyama, hizo ndio sifa za Mbowe kuwa Mwenyekiti Chadema..tujifunze kujua vyama vina maelekezo ya waliobeba maono wakati kinaanzishwa vzr kuyazingatia kuliko jazba za ujana..kwa anayesoma vitabu pekee vyenye umri mrefu kupita vitabu vingine vyote..vina mifano ya kutahadhalisha jamii kufuata msimamo wa vijana au kusikiliza maneno yao..9 kati ya 10 yana mwelekeo wa uharibifu na si kujenga.
Huna mamlaka ya kunipangia kujadili nini wakati ganiGentleman,
una haraka na mchecheto wa nini, si uwe mstahimilivu na mwenye subra ili wakati wa yeye mwenyewe ukifika si atasema ana sababu zipi za yeye kuendelea kua mwenyekiti wa chama hicho,
kisha halafu tupime sababu hizo na huyo mgombea wako?π
Hebu tulia boss maana unaamini zaidi katika ukondoo na sio mabadiliko...bado yanahitaji mtu mwenye uvumilivu sana na mlezi kuepusha shari.
Sawa..Huna hoja yoyote ya msingi bali una nongwa zaidi.
Relax gentleman,Huna mamlaka ya kunipangia
Aliishasema kuwa hatagombea.Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea
Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.
Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Chanzo?Aliishasema kuwa hatagombea.
Amandla...
..bila Mbowe kuwa na moyo alio nao wa kuthamini na kusaidia watu wengine, kwa lililomtokea Lissu asingekuwa hivyo tunavyomuona.Hebu tulia boss maana unaamini zaidi katika ukondoo na sio mabadiliko.
Hii kitu niliwawleza Jana, hili ni Mipango mkakati kusoma upepo na kilichotokea Jana ni dhahiri CDM wamefauluNdugu OKW BOBAN SUNZU
Kwa ufahamu na uelewa wako unadhani Tundu Lissu hajashauriana kwanza na Mwenyekiti wake na Mwenyekiti kutoa go ahead...?
Kama ulisikiliza vyema hotuba ya Freeman Mbowe juzi neno kwa neno wakati CHADEMA wanatoa tamko na msimamo wao juu "uchafuzi" wa kile kilichoitwa uchaguzi wa vijiji, mitaa na vitongoji, unaweza kuunganisha dots na kuweza kuelewa kuwa huu ni mpango mkakati wa chama kwa ujumla...
Kwa kifupi, huyu ndiye aliyeandaliwa kuchukua mikoba ya Freeman Mbowe CHADEMA...
There's absolutely NO HATE NOR FEAR in this move...
Na ni move ambayo imeitetemesha Lumumba, Magogoni na Chamwino yote....
Ndiyo maana huko Lumumba hakukaliki Sasa hivi. Wanabuni plan C maana A & B zote zilishafeli...
Ndio maana wameibuka kwenye mitandao kama nyuki waliotibuliwa mzingani na Moshi wa moto na ghafla Mbowe aliyekuwa target ya mashambulizi yao kama mla ruzuku yote ya chama zikiingia kwenye akaunti yake binafsi, mng'ang'ania madaraka leo anatetewa na Chawa wa Samia na CCM eti asikubali Tundu Lissu kum - challenge....!!
Loooh, this is absolutely ridiculous. Na hii kumbe ni kweli ni Bongolala...!
Hata hivyo, Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti. Hili halina ubishi tena....
Usemalo ni sawa, lakini sio sifa itayomlinda kuwa mwenyekiti kwa ziadi ya miaka 20. Hizi ni sifa binafsi zisizo na mashiko kwenye uimara wa taasisi...bila Mbowe kuwa na moyo alio nao wa kuthamini na kusaidia watu wengine, kwa lililomtokea Lissu asingekuwa hivyo tunavyomuona.
Tukirejea nyuma mwaka 2022 nadhani alishaweka Wazi kwamba hiki ni kipindi chake cha mwishoJana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea
Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.
Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Kwa kifupi, huyu ndiye aliyeandaliwa kuchukua mikoba ya Freeman Mbowe CHADEMA...Ndugu OKW BOBAN SUNZU
Kwa ufahamu na uelewa wako unadhani Tundu Lissu hajashauriana kwanza na Mwenyekiti wake na Mwenyekiti kutoa go ahead...?
Kama ulisikiliza vyema hotuba ya Freeman Mbowe juzi neno kwa neno wakati CHADEMA wanatoa tamko na msimamo wao juu "uchafuzi" wa kile kilichoitwa uchaguzi wa vijiji, mitaa na vitongoji, unaweza kuunganisha dots na kuweza kuelewa kuwa huu ni mpango mkakati wa chama kwa ujumla...
Kwa kifupi, huyu ndiye aliyeandaliwa kuchukua mikoba ya Freeman Mbowe CHADEMA...
There's absolutely NO HATE NOR FEAR in this move...
Na ni move ambayo imeitetemesha Lumumba, Magogoni na Chamwino yote....
Ndiyo maana huko Lumumba hakukaliki Sasa hivi. Wanabuni plan C maana A & B zote zilishafeli...
Ndio maana wameibuka kwenye mitandao kama nyuki waliotibuliwa mzingani na Moshi wa moto na ghafla Mbowe aliyekuwa target ya mashambulizi yao kama mla ruzuku yote ya chama zikiingia kwenye akaunti yake binafsi, mng'ang'ania madaraka leo anatetewa na Chawa wa Samia na CCM eti asikubali Tundu Lissu kum - challenge....!!
Loooh, this is absolutely ridiculous. Na hii kumbe ni kweli ni Bongolala...!
Hata hivyo, Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti. Hili halina ubishi tena....