Tuwe wakweli Harmonize Vs Asley? Nani mkali

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Asley kaimba - Angekuona, Likizo, Mhudumu,Baby, Nibebe,Natamba, Pusha, nyaku nyaku. Totoa,

Harmonize - Aiyola, Bado, Niambie, Sina, Kwangwaru, Atarudi, DM chick, Happy birthday, Matatizo

Hawa wote ni wakali kuliko Alikiba. Je kati ya hawa wawilo nani mkali kupita mwenzie
 
Huyo aslay anayeimba kwaya... !!?
 
Hili Swali Lipeleke "Uso Kitabu" Kule!
 
Kwani huwezi kuwaelezea wanamuziki wa Bongo Fleva bila kumtaja Ali Kiba? Hapa Kiba anaingiaje? Inaonekana una ugonjwa wa Kibaphobia...
 
Aslay anaimba sana ila Harmonize ni msanii ambaye ni flexible anaweza kuendana na style yoyote, hachoshi! So kwangu mimi Harmonize ni zaidi
 
unanikosea heshima, mtu kama mimi nina degree mbili kuonesha nasaport bongo fleva imekuwa kosa. Nina uhakika nimekuzidi maendeleo tembo we
Ha ha hii sio post yenye attitude ya mtu mwenye degree mbili.
Kwa hiyo unaona hizo degree 2 zako uko juu kiasi kwamba kusapoti bongo fleva ni kitu cha kujishusha na kujinyenyekeza saaana.

Afu we "msomi" unatambiana vipi maendelwo na mtu usiyemjua hata kwa jina achilia mbali sura??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…