Tuwe Wakweli: Kama Wabunge wa CHADEMA wa Viti Maalumu wasingeenda Bungeni ruzuku ingepungua sana chama kingeendeshwaje?

Tuwe Wakweli: Kama Wabunge wa CHADEMA wa Viti Maalumu wasingeenda Bungeni ruzuku ingepungua sana chama kingeendeshwaje?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.

Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.

Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.

Hongereni chama kikuu cha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
 
Bongo hamna upinzani....

Kila mtu anacheki Tumbo lake, full stop[emoji41]
Kwani chama tawala wanajali nini?Ukiona watu wako tayari kuua ilimradi kuendelea kutawala basi jua matumbo ndio yako mbele!
 
Siasa ya Tanzania ni ya aina yake

Tukiona Mabeberu wanajifanya kuingilia Siasa zetu huwa tunaweka kando tofauti zetu na kuwa kitu kimoja
Ila siasa bongo yataka moyo kuna watu wanajiuliza wataweka wapi sura zao kwa hili wanalolishuhudia
 
Kwani chama tawala wanajali nini?Ukiona watu wako tayari kuua ilimradi kuendelea kutawala basi jua matumbo ndio yako mbele!
Mbona hatuoni watu wakifa ovyo au na wew wale wale tu?? Ukileta vurugu na ukaambiwa tii sheria na hutaki kutii utauliwa tu...full stop[emoji41]
 
Cha kushangaza CCM ndio wamefurahi sana kuapishwa wale wabunge kuliko hao CHADEMA.

Mission accomplished!
 
Kwanza nawapongeza Chadema kwa kuwatendea haki wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.

Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.

Tatu na mwisho Chadema HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.

Hongereni chama kikuu cha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi CHADEMA kuingia bungeni nyinyi CCM mnafaidikaje?
Mbona kama nyinyi CCM ndo mumefurahia zaidi kuliko hao CHADEMA?
Mmefanya figisu mpaka mmebaki karibia wenyewe Bungeni, nini sasa mnalazimisha na CHADEMA wawepo?

Hamuoni kama hao Wachache watawaharibia mipango yenu mtakayokua mkiipanga?
Kwanini msiendelee tu kuwepo peke yenu ili kusiwepo na Upinzani kwenye hoja zenu tupate maendeleo zaidi??
 
Sitaki kusikia tena hiki chama.

Kuanzia leo

1.sitakuwa na chama.

2.sipigi kura, mpaka ipatikane katiba mpya na tume huru.

Chadema mmenipa hasira isiyomithilika.
 
Mbona hatuoni watu wakifa ovyo au na wew wale wale tu?? Ukileta vurugu na ukaambiwa tii sheria na hutaki kutii utauliwa tu...full stop[emoji41]
Ndio muone matumbo yenu yanawafanya muone hata kuua ni jambo la kawaida!
 
Sitaki kusikia tena hiki chama.



Kuanzia leo



1.sitakuwa na chama.



2.sipigi kura, mpaka ipatikane katiba mpya na tume huru.



Chadema mmenipa hasira isiyomithilika.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naomba kufahamu utaratibu wa viti Maalumu kwenye Chama ukoje? Maana nionavyofahamu
Wanaomba na kupigiwa kura kabla hata ya uchaguzi sasa imekuwaje hawa tena au ndiyo waliopita mwanzoni kabla ya kukosa kwenye majimbo?
 
Kwa miaka zaidi ya 25 sasa Chadema inaendeshwa kwa ruzuku ya serikali!
Serekali yenyewe inajiendesha kwa kutegemea kodi za wananchi iweje leo serekali ambayo inajiendesha kwa kutegemea kodi za wananchi itoe ruzuku kwa CHADEMA badala ya wananchi ambao ndio wenye pesa?.
 
Back
Top Bottom