wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Viti maalum mali ya wanawake kivipi? Si wangeteuliwa hata wa chauma ama wale wasio na vyama.?Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.
Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.
Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.
Hongereni chama kikuu cha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Ruzuku ya chama inatokana na kura katika uchaguzi mkuu siyo uwepo wa wabunge bungeni.Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.
Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.
Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.
Hongereni chama kikuu cha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanini wasiteuliwe toka vyama vyote Kama ni mali ya wanawake?Viti maalum mali ya wanawake kivipi? Si wangeteuliwa hata wa chauma ama wale wasio na vyama.?
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyeweKwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.
Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.
Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.
Hongereni chama kikuu cha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.
Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.
Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.
Hongereni chama kikuu cha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
sasa katibu mkuu Mnyika mbona anapiga kelele sana!? amenyimwa nini?!Kwanza nawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania kwa sababu viti vile ni mali yao siyo ya chama.
Pili shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku.
Tatu na mwisho CHADEMA HQ msiwasikilixe hawa makamanda wanaopiga kelele mitandaoni ilhali hawakichangii chama kwa namna yoyote ile na hata mkiitisha maandamano wanajificha nyuma ya kompyuta.
Hongereni chama kikuu cha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani katika wale wabunge 19 kuna mwanamme pale?!Unavyodai kuwa unawapongeza CHADEMA kwa kuwatendea haki Wanawake wa Tanzania,unaweza kuthibitisha ya kwamba wale wanawake 19 wamepelekwa bungeni kwa baraka zote za chadema na wala siyo kwa njia za panya kutoka kwa mamlaka?
Mkewe hayumo kwenye orodha!sasa katibu mkuu Mnyika mbona anapiga kelele sana!? amenyimwa nini?!
Huwezi kuitenganisha Chadema na fedha hata siku moja bwashee!Unavyodai ya kwamba shughuli za uendeshaji wa chama zinahitaji fedha na wabunge 19 ni mtaji mzuri wa kutunisha mfuko wa ruzuku, kwani chadema walikuambia kuwa wanahitaji ruzuku kupitia uchaguzi haramu ambao haukuwa uchaguzi bali ni uchafuzi wa demokrasia?
Unajua kusoma?Umesoma swali nililokuuliza?Kwani katika wale wabunge 19 kuna mwanamme pale?!
Wewe ni mwekahazina wa chadema hata usemee mambo yahusuyo fedha ya chadema?Unavijua vyanzo vyao vya mapato?What if vyanzo vyao vingine vya mapato vinajitosheleza?Huwezi kuitenganisha Chadema na fedha hata siku moja bwashee!
Walioteuliwa ni wabunge wanawake haijalishi wamepatikanaje bwashee!Unajua kusoma?Umesoma swali nililokuuliza?
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG wale Chadema wanategemea ruzuku na misaada kutoka kwa wazungu.Wewe ni mwekahazina wa chadema hata usemee mambo yahusuyo fedha ya chadema?Unavijua vyanzo vyao vya mapato?What if vyanzo vyao vingine vya mapato vinajitosheleza?
Unavyojinasibu kuwa hawana miradi kama CCM, Kwani vyanzo vya fedha ni lazima viwe miradi?Kwa mujibu wa ripoti ya CAG wale Chadema wanategemea ruzuku na misaada kutoka kwa wazungu.
Hawana miradi kama wenzao CCM!
Utaratibu wa viti maalum unapaswa kuwa hivi.Naomba kufahamu utaratibu wa viti Maalumu kwenye Chama ukoje? Maana nionavyofahamu
Wanaomba na kupigiwa kura kabla hata ya uchaguzi sasa imekuwaje hawa tena au ndiyo waliopita mwanzoni kabla ya kukosa kwenye majimbo?
Kwa nini haijalishi wamepatikanaje?Kwani hawawezi kupatikana kwa njia haramu na ambazo ziko nje ya kanuni pamoja na sheria kitu ambacho ni cha kujali?Walioteuliwa ni wabunge wanawake haijalishi wamepatikanaje bwashee!