Tuwe wakweli na tuwe na mikakati endelevu Tatizo la Ajira

Tuwe wakweli na tuwe na mikakati endelevu Tatizo la Ajira

VAPS

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
5,610
Reaction score
13,168
Tutambue juhudi zote na mipango tukiyojiwekea kusongesha gurudumu la maendeleo ya taifa letu. Maboresho sector kilimo na ufugaji, miundombinu barabara, umeme, huduma za afya, viwanja michezo.

Mikopo Halmashauri ichagize viwanda vidogo kuzalisha na kuongeza thamani.

Tuachane na mikopo midogo inayoongeza mtawanyo huduma na bidhaa sio tija kwa uchumi.
Tusiwapotoshe vijana mmachinga, mfano awamu ya 5 iliwapa kiburi na kufanya vijana wengi kuwa wazuluraji kuingia mjini pawe na mashariti Magumu kufanya biashara ibakie masoko gulio za wiki na jioni mtaani bidhaa muhimu.

Iwe marufuku kutembeza vyakuka, matunda nk wengi wanakuwa wadangaji.
 
Tukiacha ubinafsi tatizo la ajira litakuwa ni historia
 
Chanzo ni kushindwa kwa serikali ya ccm kuhusu ajira na miongozo ya vijana
 
Ndani ya miaka 3 jinsi ya kuleta maendeleo na kumaliza tatizo la ajira nchini.

1.Ondoa futa kodi zote za kuingiza magari ya mizigo na abiria nchini kodi yake utaipata mara mbili yake kupitia indirect tax.Kwenye mafuta,leseni za udereva,fine za traffic, parking fee,ushuru wa stand,spare za magari,leseni na vibali mbalimbali.Gari moja uajiri si chini ya vijana 3.

2.Toa ruzuku kwenye viwanda vya kuzalisha matrekta wazalishe matreka mengi waje watuuzie wakulima kwa robo bei trekta moja uajiri zaidi ya watu wanne.

3.Jenga schemes za umwagaliaji KILA kijiji upitapo mto pande zote mbili watu walime mwaka mzima ni aibu sana kwa maji ya mito kumwaga maji yake baharini badala ya mashambani.Soko la mazao nje ya nchi lipo tele

4.Jenga vyuo vya ujuzi kila kata kopesha vijana ujuzi baada ya kumaliza darasa la saba wakapate ujuzi wautakao.

Kukopesha vijana waende chuo kikuu kisha warudi mtaani kuendesha bodaboda na kuwa machinga ni upotevu Mkubwa Sana wa kodi zetu na kuongeza idadi ya masikini nchini.

5.Fungua mipaka watu wauze watakapo nje ya nchi kuna masoko tele.Legeza masharti ya vibali Ili export ikue.

Ni sekta mbili tu zingine takataka hazifikii kilimo na madini kwa kuajiri vijana wote nchini na kuongeza pato la taifa bila kutegemea kukopa na kukamua kodi wananchi.

6.Peleka KILA kijiji mashine za kutengeneza interlocking block na vigae Ili watz wote wajenge nyumba bora kwa gharama nafuu kabisa

Mjerumani kwa miaka 15 alituletea maendeleo makubwa Sana ccm imeshindwa nini.

Huwezi ukatumia tilioni moja kununua ndege ambazo zimeajiri watu 500,kumbe ungeziweka kwenye kilimo ungeajiri vijana milioni 12 kwenye mchakato mzima wa kilimo.
Kilimo,madini na uvuvi huweza ajili vijana wote nchini.
 
Serikali irudishe mfumo wa elimu wa mkoloni ndio mfumo sahihi kuweza kumaliza tatizo la ajira nchini kwa zama hizi.
Ni kosa la Mwalimu kuamini KILA mfumo wa mkoloni ulikuwa mbaya
 
Hizo ese zenu hazitekelezeki.

Kama huna ajira ya kueleweka hakikisha huzai tegemez ili kuondoa idad ya masikin
 
Raslimali zetu tele kama zikitumika vyema tatizo la ajira halitakuwepo
 
Ndani ya miaka 3 jinsi ya kuleta maendeleo na kumaliza tatizo la ajira nchini.

1.Ondoa futa kodi zote za kuingiza magari ya mizigo na abiria nchini kodi yake utaipata mara mbili yake kupitia indirect tax.Kwenye mafuta,leseni za udereva,fine za traffic, parking fee,ushuru wa stand,spare za magari,leseni na vibali mbalimbali.Gari moja uajiri si chini ya vijana 3.

2.Toa ruzuku kwenye viwanda vya kuzalisha matrekta wazalishe matreka mengi waje watuuzie wakulima kwa robo bei trekta moja uajiri zaidi ya watu wanne.

3.Jenga schemes za umwagaliaji KILA kijiji upitapo mto pande zote mbili watu walime mwaka mzima ni aibu sana kwa maji ya mito kumwaga maji yake baharini badala ya mashambani.Soko la mazao nje ya nchi lipo tele

4.Jenga vyuo vya ujuzi kila kata kopesha vijana ujuzi baada ya kumaliza darasa la saba wakapate ujuzi wautakao.

Kukopesha vijana waende chuo kikuu kisha warudi mtaani kuendesha bodaboda na kuwa machinga ni upotevu Mkubwa Sana wa kodi zetu na kuongeza idadi ya masikini nchini.

5.Fungua mipaka watu wauze watakapo nje ya nchi kuna masoko tele.Legeza masharti ya vibali Ili export ikue.

Ni sekta mbili tu zingine takataka hazifikii kilimo na madini kwa kuajiri vijana wote nchini na kuongeza pato la taifa bila kutegemea kukopa na kukamua kodi wananchi.

6.Peleka KILA kijiji mashine za kutengeneza interlocking block na vigae Ili watz wote wajenge nyumba bora kwa gharama nafuu kabisa

Mjerumani kwa miaka 15 alituletea maendeleo makubwa Sana ccm imeshindwa nini.

Huwezi ukatumia tilioni moja kununua ndege ambazo zimeajiri watu 500,kumbe ungeziweka kwenye kilimo ungeajiri vijana milioni 12 kwenye mchakato mzima wa kilimo.
Kilimo,madini na uvuvi huweza ajili vijana wote nchini.
Waziri Kilimo Bashe ana dira njema, tatizo serikali ya CCM, wachache wakiendesha v8 na wanachama wachache uwakilishi wakipokea posho Ni mwembo wa kupiga meza kusifia na kuabudu.
 
Shida pia watanzania tunazaliana bila mpango wala tija, tupo sawa population na France lakini uchumi wao ni Mara 1000 ya ule wa kwetu, kila ukipita mdada ana katoto mgongoni halaf Hana maisha
 
Shida pia watanzania tunazaliana bila mpango wala tija, tupo sawa population na France lakini uchumi wao ni Mara 1000 ya ule wa kwetu, kila ukipita mdada ana katoto mgongoni halaf Hana maisha
IPO shida kubwa uzazi , unadhani hawa machinga na wadada wajasilia Mali waliokimbia ndoa Wana mpango wa kuzaa? Hawa kundi la machinga Kati ya 100 labda 10 pekee wataoa, wengi wao wanamaliza haja zao kwa 500, 1000,2000...
Huu ujinga kila mwenye Sonia na 5000 tayari mjasiliamali! Wapigwe marufuku, wabakie masoko ya jioni mtaani pekee.
 
Serikali kupitia Halmashauri haiwezi kuwa na pesa za kutosha kuleta nafuu ya tatizo la ajira.
Tatizo la ajira litashughulikiwa vizuri nchi iwapo sekta binafsi itawekewa mazingira mazuri kuimarika.
Tutambue juhudi zote na mipango tukiyojiwekea kusongesha gurudumu la maendeleo ya taifa letu. Maboresho sector kilimo na ufugaji, miundombinu barabara, umeme, huduma za afya, viwanja michezo.

Mikopo Halmashauri ichagize viwanda vidogo kuzalisha na kuongeza thamani.

Tuachane na mikopo midogo inayoongeza mtawanyo huduma na bidhaa sio tija kwa uchumi.
Tusiwapotoshe vijana mmachinga, mfano awamu ya 5 iliwapa kiburi na kufanya vijana wengi kuwa wazuluraji kuingia mjini pawe na mashariti Magumu kufanya biashara ibakie masoko gulio za wiki na jioni mtaani bidhaa muhimu.

Iwe marufuku kutembeza vyakuka, matunda nk wengi wanakuwa wadangaji.
 
Back
Top Bottom