Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa wazee wa kubet watakutafuta...Galileo galilei
Binafsi nilianza kupenda elimu za Astronomy nikiwa bado mdogo sana nilikua naweza kutabiri baadhi yavitu mfano nakumbuka kipindi cha utoto tulikua tunaenda kutazama movie kijijini kwetu kwamfumo wakulipia sh:100 ajabu nikwamba nilikua nawatangazia washkaji kua leo kule wameweke ubaoni picha flani hivo mimi nintaenda kuangalia.
Tulipo kua tunaenda kutazama ubaoni nikwamba tulikuta movie ilele ila jamaa walikua wanajua kua mimi eidha nilienda sokoni pia nikapita naangalia ubao au nikawa nimeskia kwamtu.
Ukweli nikwamba nilikua natabiri tuu bila kujua chochote.
Haina maana kila wakati nilikua nafanya hivo bali hali hiyo ilikua inakuja automatically yenyewe kwanguvu kuhusu movie ilio wekwa leo nazaidi zilikua zilimovie ninazo zipende mimi ndio nilikua nadhani kwamba itaoneshwa leo.
Kilicho kua kikinishangaza hata mimi nikukuta ndio movie hiyo hiyo imewekwa🤔🤔
Sean Combs a.k.a P Diddy kiboko ya walamba lips.Mimi kusema kweli ni huyu mwamba in early 2000s (2001 na 2002) haha hadi nikawa napiga cross kama yeye tukicheza sodo.
Duh bonge la story mkuuGalileo galilei
Binafsi nilianza kupenda elimu za Astronomy nikiwa bado mdogo sana nilikua naweza kutabiri baadhi yavitu mfano nakumbuka kipindi cha utoto tulikua tunaenda kutazama movie kijijini kwetu kwamfumo wakulipia sh:100 ajabu nikwamba nilikua nawatangazia washkaji kua leo kule wameweke ubaoni picha flani hivo mimi nintaenda kuangalia.
Tulipo kua tunaenda kutazama ubaoni nikwamba tulikuta movie ilele ila jamaa walikua wanajua kua mimi eidha nilienda sokoni pia nikapita naangalia ubao au nikawa nimeskia kwamtu.
Ukweli nikwamba nilikua natabiri tuu bila kujua chochote.
Haina maana kila wakati nilikua nafanya hivo bali hali hiyo ilikua inakuja automatically yenyewe kwanguvu kuhusu movie ilio wekwa leo nazaidi zilikua zilimovie ninazo zipende mimi ndio nilikua nadhani kwamba itaoneshwa leo.
Kilicho kua kikinishangaza hata mimi nikukuta ndio movie hiyo hiyo imewekwa🤔🤔
Kanikumbusha mbali sanaDuh bonge la story mkuu
Nitumie pm yangu mkuu iko wazi una kipawa..Nimeshabett marakadha haswa siku za weekend nami hua natumia uhakika ya betting kwenye karatasi ilikuepuka janja janja inayo fanyika online kwakukugeuzia team ulio iweka.tofauti nakwenye kalatsi huwezi kugeuza chochote uleniushahidi unaokufunga.
Ninaorodha ya mikeka isio pungua 20 nilio ipiga picha kwaajiri ya kumbukumbu mikeka iliwin pesa nyingi tuu.mwenye kutaka kujifunza kwakuona mikeka hiyo anaweza kuja pm kwakujifurahisha.
Bonge la storyKwa wanamuziki ilikuwa 2PAC nilikuwa napenda sana body ya mwili nijawa natamani niwe kama aina mavazi yake na namna uongeaji wake nilkuwa naiga kila kitu kuhusu tupac
Kwenye movie za Hollywood nilikuwa namkibari sana mwamba wa kuitwa JEN CLAUD VAN DAME
kwenye sanaa za mapigano nilikuwa najiona VAN DAME ukichanganya kwa mbali na pigo za BLUCE LEE
kule INDIA ilikuwa mwamba AKSHAY KUMAR. Yaan miaka ile ya 90s ndo kma kungekuwa na SOCIAL MEDIA sijui ingekuaje mana nilikiwa FUN wake kupitiliza